Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoooo !!!Huyu Simalenga ni mkiukaji wa haki za binadamu. Mama usipo muwajibisha huko Usukumani akirudia michezo yake ya kiboya atarogwa ageuke kuwa fisi
Acha ujinga mtot kaenda kujibandika pamba lote ilo ili atoe uongo duh tuache nongwa mm siajona kosa lake ,hawa watot pasipo vibao hawaendiHakuna asiyejua kosa la huyu MTU.
Usalama wa watoto utakuwa mdogo.
View attachment 2495320
Hafai Kabisa. Cha ajabu hakuna na taarifa ya hatua dhidi ya kitendo cha kumchapa mtoto vibao
Ile pamba isikudanganye mkuu eti kuwa mtoto kavimba macho kwa tukofi kile Ni uongo tu ulikuwa ili kumuondoa pale ktk kituo kile na SAS ameondoka zakeHuyu Simalenga ni mkiukaji wa haki za binadamu. Mama usipo muwajibisha huko Usukumani akirudia michezo yake ya kiboya atarogwa ageuke kuwa fisi
Huyu ni mtu wa PwaniHakuna asiyejua kosa la huyu MTU.
Usalama wa watoto utakuwa mdogo.
View attachment 2495320
Hafai Kabisa. Cha ajabu hakuna na taarifa ya hatua dhidi ya kitendo cha kumchapa mtoto vibao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Huyu Simalenga ni mkiukaji wa haki za binadamu. Mama usipo muwajibisha huko Usukumani akirudia michezo yake ya kiboya atarogwa ageuke kuwa fisi