HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Lipa kodiTuna angalia gharama mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lipa kodiTuna angalia gharama mkuu
Mara hii!?Huyu mama hakaimishi? ndani ya miezi 3 ameshatoka zaidi ya mara 5
Hujaona alivyokaimisha?Huyu mama hakaimishi? ndani ya miezi 3 ameshatoka zaidi ya mara 5
Yote sawa, sisi tunataka tuishi kwa amani tu, ushamba wakutekana tekana Kama alivyokuwa anafanya dikteta , na kuvamia bureau de change zetu kukomba fedha, hatutakiAnaandaliwa safari ya dharura kwenda msumbiji Huko hazina na Bot wanafanya yao. Nimemkumbuka Luhanjo alikuwa anamuandalia JK safari za nje kila mwezi Huku nyumba Luhanjo anaendelea kuteua DED na RC na kupokea chake na kuweka mfukoni. Luhanjo hakuwalhi kwenda likizo Wala kwenda kwao.
hatukatai lkn tunaangalia gharama.wananchi hawana kitu,wabunge wanaota kulipwa kwa dola,hospitalini sasa ukiandikiwa dawa tatu unapata moja na zingine famasi sasa haya masafari ya nini ?tujenge kwanza uchumi sasa hivi biashara haziendi na wananchi hawana kitu mifukoni mwao.kwa nini ss waafrika tunapenda sana ziara tulilogwa na nani?Ni mkutano wa wakuu wa nchi hakuna sababu ya kutumatuma wawakilishi, kama anayo nafasi hata ikitokea mikutao 1000 mwacheni akahudhurie ni sehemu ya majukumu yake ya msingi!
ALL THE BEST MADAM PRESIDENT!
Kwenda kwenye 40?Hujaona alivyokaimisha?
TeteteetMara hii!?
JK alipomaliza siku 100 za U Rais, safari za nje alikuwa amemzidi Mwai Kibaki aliyekuwa amemaliza miaka mitatu!
Nalipa kila sikuLipa kodi
Mwendazake alikuwa mharibifu tupuGharama alizokuwa anatumia mwendazake mbona zinalingangana tu mkuu
Hatari snS
Siku 90 siku alizokaa nje hazizidi 7
Vipi akikakaimisha kandungaiHuyu mama hakaimishi? ndani ya miezi 3 ameshatoka zaidi ya mara 5
Gharama ni kubwa sana?Tuna angalia gharama mkuu
Lala huko wewe BashiteGharama ni kubwa sana?
Ilivokuwa inafanyika Dar enzi zile wakati wa mwendazake tuliona kama ni kitu cha ajabu sana kumbe ni kitu cha kawaida tu kwamba kama umekuwa mwenyekiti wa SADC kumbe vikao lazima vifanyike kwako.Marehemu alikuwa muoga
Kwa majibu yako unaonyesha huna data kabisa. Yaani ukiulizwa hapo data za bajeti za ziara za raisi nje ya nchi hujui lakini unavyohoji sasa. Fuatilia kwanza utakuwa na nguvu za kuhoji gharama, pengine utakuwa upande wa serikali utakapokuwa na correct information.Lala huko wewe Bashite
chezea kingereza wewe!Marehemu alikuwa muoga