Rais Samia aenda Msumbiji kwa kikao cha dharura cha SADC

Rais Samia aenda Msumbiji kwa kikao cha dharura cha SADC

Kwa majibu yako unaonyesha huna data kabisa. Yaani ukiulizwa hapo data za bajeti za ziara za raisi nje ya nchi hujui lakini unavyohoji sasa. Fuatilia kwanza utakuwa na nguvu za kuhoji gharama, pengine utakuwa upande wa serikali utakapokuwa na correct information.
Sina muda mchafu
 
Vasco Dagama part II.
Pole sana
IMG-20210623-WA0010.jpg
 



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili leo tarehe 22 Juni, 2021 katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC utakaofanyika kesho tarehe 23 Juni, 2021.
===

Extraordinary Summit of Heads of State and Government in Maputo, Mozambique on 23 June, 2021​

The Southern African Development Community (SADC) will hold Extraordinary Summit of Heads of State and Government on 23rd June, 2021 in Maputo, Republic of Mozambique to discuss issues of regional integration, cooperation and development.

His Excellency Filipe Jacinto Nyusi, President of the Republic of Mozambique will Chair the Extraordinary Summit in his capacity as the current Chairperson of SADC.

The Republic of Mozambique and several SADC Member States have declared days of national mourning in honour of the late first President of the Republic of Zambia H.E Dr Kenneth David Buchizya Kaunda who played a pivotal role in the formation of the Southern African Development Coordination Conference (SADCC), the forerunner to SADC and in this regard, the SADC flag, and those of SADC Member States shall be flown at half-mast during the Extraordinary Summit and preceding meetings.

Summit will, among the key issues, discuss the regional response and support to the Republic of Mozambique in addressing terrorism, regional food and nutrition security, gender and development, and progress in the regional response to HIV and AIDS and COVID-19 pandemic.

The Summit will review progress made in the implementation of the theme of the 40th SADC Summit; SADC: 40 Years Building Peace and Security, and Promoting Development and Resilience in the Face of Global Challenges, which was endorsed by the SADC Summit in August, 2020.

The Summit will also mark the regional commemoration of the 40th Anniversary of SADC with the launch of three publications by His Excellency Filipe Jacinto Nyusi, President of the Republic of Mozambique, in his capacity as the Chairperson of SADC.

The publications to be launched are; 40 Years of SADC: Enhancing Regional Cooperation and Integration; Volume 2 of Mozambique SADC Success Stories; and the Hashim Mbita (Southern African Liberation Struggles). General Hashim Mbita | The Presidency

The Summit of Heads of State and Government is the supreme policy-making institution of SADC with the responsibility for the overall policy direction and control of functions of the community in accordance with Article 10 of the SADC Treaty.

Hivi ndege ya rais ile Gulf Stream aliyoleta Che Nkapa iko wapi?

Mama ni mwendo wa dreamliner tu?
 
Kikao cha dharula kwa dharula ipi? Kati ya agenda walizozitaja hakuna hata moja unaweza kusema ni agenda ya dharula! Ugaidi Msumbiji siyo dharula! Ugaidi upo nchini humo kwa muda mrefu!

Corona pia siyo dharula kwa sasa. Labda ilikuwa dharura ilipoingia 2019 na labda 2020! Kwa leo corona si dharula!! Viongozi wa Afrika iweni makini msije mkatumika kama rubber stamp kupitisha agenda ya siri ya mabeberu kuhusu corona na biashara kubwa nyuma yake ya kulazimishwà kununua chanjo kwa ajili ya corona inayotafutwa kwa nguvu hata kwa tochi!

..mtoa mada amekosea kusema ni kikao cha dharura.

..sadc extraodinary summit ni kikao cha juu kabisa cha viongozi wa nchi za sadc.

..kutokana na umuhimu wake ndio maana raisi amehudhuria. Majuzi kulikuwa na kikao kingine na Raisi aliwakilishwa na Dr.Hussein Mwinyi.

..Dr.Magufuli alikuwa hawezi kuhudhuria mikutano nje kwasababu ya ugonjwa wa moyo uliokuwa ukimsumbua. Wakati wote alikuwa akiwakilishwa na Mama Samia.

..Kwasababu Mama Samia alikuwa akimuwakilisha Rais basi delegation / ujumbe wake ulikuwa na hadhi ya Raisi. Kwa msingi huo gharama za kumsafirisha, na huduma zake, zilikuwa sawa na angesafiri Raisi Magufuli.
 
..Kikwete alisafiri kupita kiasi. Kuna mikutano alikuwa anahudhuria haikuwa ya hadhi ya Raisi.

..Mama Samia anapaswa kusafiri na kushiriki vikao na mikutano ambayo Maraisi wenzake wanahudhuria.
Kipenda roho hula nyama mbichi.
 
Gharama alizokuwa anatumia mwendazake mbona zinalingangana tu mkuu
Aisee hazilingani hata nusu.
Ardhini magari yakifahari zaidi ya 100.
Wakaazi walisimama takribani 2/3 hrs apite komandoo.
Akawa anatembea na mkurugenzi wa usalama na kumnadi popote alipo.
ANGANI
Helkopita mbili zikimfuatilia akiwa chini ya ardhi.
 
Kikao cha dharula kwa dharula ipi? Kati ya agenda walizozitaja hakuna hata moja unaweza kusema ni agenda ya dharula! Ugaidi Msumbiji siyo dharula! Ugaidi upo nchini humo kwa muda mrefu!

Corona pia siyo dharula kwa sasa. Labda ilikuwa dharura ilipoingia 2019 na labda 2020! Kwa leo corona si dharula!! Viongozi wa Afrika iweni makini msije mkatumika kama rubber stamp kupitisha agenda ya siri ya mabeberu kuhusu corona na biashara kubwa nyuma yake ya kulazimishwà kununua chanjo kwa ajili ya corona inayotafutwa kwa nguvu hata kwa tochi!
Wamekubaliana kuwa na jeshi moja kupambana na ugaidi kaskazini ya Msumbiji. Ndio hawa waliopigwa mkuranga na kisiju wakati wa JPM.
 
Back
Top Bottom