Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sina muda mchafuKwa majibu yako unaonyesha huna data kabisa. Yaani ukiulizwa hapo data za bajeti za ziara za raisi nje ya nchi hujui lakini unavyohoji sasa. Fuatilia kwanza utakuwa na nguvu za kuhoji gharama, pengine utakuwa upande wa serikali utakapokuwa na correct information.
Utakuwa nao tu siku mojaSina muda mchafu
Sawa mkuuUtakuwa nao tu siku moja
😀 😀 😀 😀Vasco Dagama part II.
Pole sanaVasco Dagama part II.
Kwa niaba yake nasema Asante!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili leo tarehe 22 Juni, 2021 katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Maputo nchini Msumbiji kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC utakaofanyika kesho tarehe 23 Juni, 2021.
===
Extraordinary Summit of Heads of State and Government in Maputo, Mozambique on 23 June, 2021
The Southern African Development Community (SADC) will hold Extraordinary Summit of Heads of State and Government on 23rd June, 2021 in Maputo, Republic of Mozambique to discuss issues of regional integration, cooperation and development.
His Excellency Filipe Jacinto Nyusi, President of the Republic of Mozambique will Chair the Extraordinary Summit in his capacity as the current Chairperson of SADC.
The Republic of Mozambique and several SADC Member States have declared days of national mourning in honour of the late first President of the Republic of Zambia H.E Dr Kenneth David Buchizya Kaunda who played a pivotal role in the formation of the Southern African Development Coordination Conference (SADCC), the forerunner to SADC and in this regard, the SADC flag, and those of SADC Member States shall be flown at half-mast during the Extraordinary Summit and preceding meetings.
Summit will, among the key issues, discuss the regional response and support to the Republic of Mozambique in addressing terrorism, regional food and nutrition security, gender and development, and progress in the regional response to HIV and AIDS and COVID-19 pandemic.
The Summit will review progress made in the implementation of the theme of the 40th SADC Summit; SADC: 40 Years Building Peace and Security, and Promoting Development and Resilience in the Face of Global Challenges, which was endorsed by the SADC Summit in August, 2020.
The Summit will also mark the regional commemoration of the 40th Anniversary of SADC with the launch of three publications by His Excellency Filipe Jacinto Nyusi, President of the Republic of Mozambique, in his capacity as the Chairperson of SADC.
The publications to be launched are; 40 Years of SADC: Enhancing Regional Cooperation and Integration; Volume 2 of Mozambique SADC Success Stories; and the Hashim Mbita (Southern African Liberation Struggles). General Hashim Mbita | The Presidency
The Summit of Heads of State and Government is the supreme policy-making institution of SADC with the responsibility for the overall policy direction and control of functions of the community in accordance with Article 10 of the SADC Treaty.
Kikao cha dharula kwa dharula ipi? Kati ya agenda walizozitaja hakuna hata moja unaweza kusema ni agenda ya dharula! Ugaidi Msumbiji siyo dharula! Ugaidi upo nchini humo kwa muda mrefu!
Corona pia siyo dharula kwa sasa. Labda ilikuwa dharura ilipoingia 2019 na labda 2020! Kwa leo corona si dharula!! Viongozi wa Afrika iweni makini msije mkatumika kama rubber stamp kupitisha agenda ya siri ya mabeberu kuhusu corona na biashara kubwa nyuma yake ya kulazimishwà kununua chanjo kwa ajili ya corona inayotafutwa kwa nguvu hata kwa tochi!
Kikwete alisafiri hivi hivi mkamuita Vasco Da Gama.Mwendazake pacemaker ilikuwa inamfanya asisafiri, na hofu ya kupinduliwa,
Acha mama awaikilishe Nchi kimataifa, msukuma mwenzenu aliturudisha sana nyuma
I second youVasco Dagama part II.
Amtume Nani? Huyo muha wewe unamuona ni presidential material kuwakilisha nchi kwenye high level policy dialogue!?Huyu mama hakaimishi? ndani ya miezi 3 ameshatoka zaidi ya mara 5
Kikwete alisafiri hivi hivi mkamuita Vasco Da Gama.
Tatizo lenu ni low capacity of thinking.
Kipenda roho hula nyama mbichi...Kikwete alisafiri kupita kiasi. Kuna mikutano alikuwa anahudhuria haikuwa ya hadhi ya Raisi.
..Mama Samia anapaswa kusafiri na kushiriki vikao na mikutano ambayo Maraisi wenzake wanahudhuria.
Kipenda roho hula nyama mbichi.
Safari na kuteua Hadi 2025.
Mwalimu mkuu wa secondary mwenyewe kila siku yupo safari ijekua mkuu wa Nchi? Mwancheni mama akapambane hukoVasco Dagama part II.
Aisee hazilingani hata nusu.Gharama alizokuwa anatumia mwendazake mbona zinalingangana tu mkuu
gharama hazikuonekana kwa jakaya hata mkatamani arudi ikulu sembuse huyu mamaTuna angalia gharama mkuu
Wamekubaliana kuwa na jeshi moja kupambana na ugaidi kaskazini ya Msumbiji. Ndio hawa waliopigwa mkuranga na kisiju wakati wa JPM.Kikao cha dharula kwa dharula ipi? Kati ya agenda walizozitaja hakuna hata moja unaweza kusema ni agenda ya dharula! Ugaidi Msumbiji siyo dharula! Ugaidi upo nchini humo kwa muda mrefu!
Corona pia siyo dharula kwa sasa. Labda ilikuwa dharura ilipoingia 2019 na labda 2020! Kwa leo corona si dharula!! Viongozi wa Afrika iweni makini msije mkatumika kama rubber stamp kupitisha agenda ya siri ya mabeberu kuhusu corona na biashara kubwa nyuma yake ya kulazimishwà kununua chanjo kwa ajili ya corona inayotafutwa kwa nguvu hata kwa tochi!