Nyakijooga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 276
- 473
Soma: Kuelekea 2025 - Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni mbinu ya kisiasa kummaliza Lissu, kwamba ni machachari tu na mtoto wake kisiasa bila uhasama wowote."Jana kulikuwa kuna viji-clip vinarushwa kulikuwa kuna Simba machachari pale mkorofi kidogo, nikauliza huyu Simba mmempa jina nikaambiwa bado, nikawaambia muiteni mwanangu @TunduALissu mpeni jina la huyu Simba, kwa sababu alikuwa hatulii kama alivyo mwanangu Tundu Lissu," - Rais Samia
View attachment 3078855
#EastAfricaTV
Ndo hapooo sasa!!Kwa Mtanzania mwenye utimamu wa akili na upendo wa Agape,unawezaje kutulia ilhali kuna matatizo lukuki ya Watanzania wenzako kila kukicha!!???
Ndo hapo sasa nini? Ebu sogea hapa karibu na mimi update "jotho"Ndo hapooo sasa!!
"Jana kulikuwa kuna viji-clip vinarushwa kulikuwa kuna Simba machachari pale mkorofi kidogo, nikauliza huyu Simba mmempa jina nikaambiwa bado, nikawaambia muiteni mwanangu Tundu Lissu mpeni jina la huyu Simba, kwa sababu alikuwa hatulii kama alivyo mwanangu Tundu Lissu," - Rais Samia
View attachment 3078855
#EastAfricaTV
Soma: Kuelekea 2025 - Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu
Ila za mwanza alizipokea na akanyamazaSasa atulie ili iweje, Tundu Lissu sio mtu wa kumnyamazisha kwa pesa kutoka uarabuni.
Lissu analainishwa kwa mayai na asali, awe makini sana!Hiyo ni mbinu ya kisiasa kummaliza Lissu, kwamba ni machachari tu na mtoto wake kisiasa bila uhasama wowote.
"Jana kulikuwa kuna viji-clip vinarushwa kulikuwa kuna Simba machachari pale mkorofi kidogo, nikauliza huyu Simba mmempa jina nikaambiwa bado, nikawaambia muiteni mwanangu Tundu Lissu mpeni jina la huyu Simba, kwa sababu alikuwa hatulii kama alivyo mwanangu Tundu Lissu," - Rais Samia
View attachment 3078855
#EastAfricaTV
Soma: Kuelekea 2025 - Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu
Absolutely.Ila huyu bibi ana wakati mgumu mno kisaikolojia. Nahisi anaogopa mpaka kivuli chake yeye mwenyewe.
Ila asing'ake yeye na wafuasi wake Lissu nae akijibu kwa dhihaka kumfananisha na kitu kingine.
Samia anaweza kumzaa Lissu? Hapo awali alimwita mdogo wake now anamwita mwanae!! Huyu Samia kachanganyikiwa sana!"Jana kulikuwa kuna viji-clip vinarushwa kulikuwa kuna Simba machachari pale mkorofi kidogo, nikauliza huyu Simba mmempa jina nikaambiwa bado, nikawaambia muiteni mwanangu Tundu Lissu mpeni jina la huyu Simba, kwa sababu alikuwa hatulii kama alivyo mwanangu Tundu Lissu," - Rais Samia
View attachment 3078855
#EastAfricaTV
Soma: Kuelekea 2025 - Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu