Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Kuvurugwa Mkuu, sasa kama Mwalimu wa Lissu anamuita Samia Mama kwanini Samia asimuite Lissu Mwanae? 🤣🤣🤣Samia anaweza kumzaa Lissu? Hapo awali alimwita mdogo wake now anamwita mwanae!! Huyu Samia kachanganyikiwa sana!
Halafu neno ukishatamka halirudishiki mdomoni....imeshatoka hyooo Lissu ni Simba!