Kuvurugwa Mkuu, sasa kama Mwalimu wa Lissu anamuita Samia Mama kwanini Samia asimuite Lissu Mwanae? 🤣🤣🤣Samia anaweza kumzaa Lissu? Hapo awali alimwita mdogo wake now anamwita mwanae!! Huyu Samia kachanganyikiwa sana!
Halafu neno ukishatamka halirudishiki mdomoni....imeshatoka hyooo Lissu ni Simba!
Ni kweli kabisa. Alituma mwanaye anayeitwa Abdul ampelekee Lissu rushwa ili atulie lakini akaikataa na kumfukuza."Jana kulikuwa kuna viji-clip vinarushwa kulikuwa kuna Simba machachari pale mkorofi kidogo, nikauliza huyu Simba mmempa jina nikaambiwa bado, nikawaambia muiteni mwanangu Tundu Lissu mpeni jina la huyu Simba, kwa sababu alikuwa hatulii kama alivyo mwanangu Tundu Lissu," - Rais Samia
View attachment 3078855
#EastAfricaTV
Soma: Kuelekea 2025 - Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu
Yuko sahihi. Wala hajakosea.Halafu ile kuitwa mama mama mama kila mtu sahivi ni mwanae!
Atatuliaje wakati mapande ya nchi yetu ya Tanganyika wanapewa waarabu?"Jana kulikuwa kuna viji-clip vinarushwa kulikuwa kuna Simba machachari pale mkorofi kidogo, nikauliza huyu Simba mmempa jina nikaambiwa bado, nikawaambia muiteni mwanangu Tundu Lissu mpeni jina la huyu Simba, kwa sababu alikuwa hatulii kama alivyo mwanangu Tundu Lissu," - Rais Samia
View attachment 3078855
#EastAfricaTV
Soma: Kuelekea 2025 - Rais Samia atoa maagizo ya Simba dume wa Kizimkazi kupewa jina la Tundu Lissu
Who has been officially tamed spiritually by being equated to a caged lion.The heavens have already bold-printed that Tundu Lissu is the Lion of Kizimkazi.
The heavens will dethrone Samia in 2025 .
The heavens will enthrone Tundu Lissu as the president of Tanzania in 2025 .
Ktk ulimwengu wa roho Samia amesha mu ascend lissu to the throne!! Iliisha jana hiyoo....now anatapatapa!The heavens have already bold-printed that Tundu Lissu is the Lion of Kizimkazi.
The heavens will dethrone Samia in 2025 .
The heavens will enthrone Tundu Lissu as the president of Tanzania in 2025 .
Tundu Lissu siyo mjingaHiyo ni mbinu ya kisiasa kummaliza Lissu, kwamba ni machachari tu na mtoto wake kisiasa bila uhasama wowote.