Rais Samia afanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Angellah Kairuki aenda TAMISEMI, Balozi Mulamula atemwa, Bashungwa ahamishwa

Huyo kairuki toka nazaliwa ni Waziri, tanganyika mnafeli wap kukosa mbadala huyo mama ana jipya gani kuisaidia nchi baada ya miaka yote hiyo kufeli?
 
Bado bashungwa hatoshi kwenye hiyo wizara, hiyo wizara Inahitaji mtu kazi ambaye yupo seriously bashungwa namuona laini laini sn
 
nchi hii tabu tupu. Ukipoata nafasi IBA kwa kwenda mbele maana hujui kama kesho utakuwepo johnthebaptist
 
Bado bashungwa hatoshi kwenye hiyo wizara, hiyo wizara Inahitaji mtu kazi ambaye yupo seriously bashungwa namuona laini laini sn
Ina kitu gani cha zaidi? CDF ndiye anaamua kila kitu, Waziri ni ceremonial, I can say!
 
Rais yuko juu ya katiba na sheria zake. Hivyo anaweza fanya loloteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Kama akina nani?
 
Hivi yule mzee aliyekua katibu mkuu TAMISEMI enzi za JPM, nafikiri jina lake ni Joseph Nyamhanga, akasimamia miradi kibao ambayo ndiyo inayozinduliwa sasa, mbona kama wamempotezea,

Kweli tenda wema nenda zako
Kama miradi ipi hiyo?
 
Huyu mvaa tai ya bendera kamuachaje licha ya kelele za watozwa tozo? Basi sawa, acha Ile kauli ya Hichilema wa kule Zambia ijisimike vyema!
Kwamba kelele za Chadomo ndio base ya Rais kufanyia maamuzi? Acha uzwazwa..

Ni hivi Mwigulu toka enzi za JK huyo,Simbachawene,Jenista hao ni senior ministers hawatoki Leo wala kesho na Sasa Bashungwa anaingia kwenye hiyo Orodha.
 
Mganga wa Dk. Mwigulu Nchemba si wa mchezo mchezo kwani Kaupiga mwingi kwa Ndumba na Mama Kamsahau kabisa Kumtumbua.
Mama anamuamini Mwigulu hata tone ya anapomzungumzia au Mwigulu anapomzungumzia Rais unaweza Iona..

Kwa hiyo Chuki zenu haziwezi kuwasaidia kitu,hakuna cha mganga Wala nani..

Mwisho unapomshutumu mtu uje Kwa figures kuonyesha kwamba ameharibu Uchumi ila kama uchumi unakua na pesa za miradi zinapatikana,shutuma zenu zinasalia kuwa kelele za chuki binafsi na mtapuuzwa..

Kwa mara ya Kwanza Mwigulu amesimamia utekelezaji wa Bajeti Kwa zaidi ya 95%,haijawahi tokea.
 
Atamrudisha jaffo kwa kuchelewa mno. Unajua Jaffo na JK walikuwa hawakai pamoja.

Ila mama hana namna, hakuna atakayeiweza tamisemi zaidi ya jaffo ambaye alijitahidi kui shepu angalau. Hapo mama ndio amejisafisha kwa oil chafu kumuweka kairuki.
Jafo hawezi kurudi tena Tamisemi..Arudi ili hati chafu zirudi au? By the way Bashungwa amefanya Kazi nzuri Tamisemi kuanzia mapato kuongezeka hadi kutimua majizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…