Kijna yule uwazri mkuu unamfta siku mojaStergomena alikuwa anasifiwa sana imekuwaje? Mulamula sidhani kama siasa anaziweza ila kihoja ni Bashungwa kuwa waziri wa ulinzi.
Dharau, kiburi na maringo pamoja na double taxation na mfumko wa bei! Hana analowaza zaidi ya kudouble tax over tax!Kosa la mvaa tai ni lipi?
Amenyangaywa ubunge atakuwa balozi EnglandHivi mbunge akiteuliwa si anatakiwa kula kwanza kiapo cha ubunge?
Halafu, hadi sasa idadi ya wabunge wa kuteuliwa imefikia ngapi? Ukijumlisha wale wa JPM + 19 (Halima mdee et al)
Je, Mulamula anaendelea kuwa mbunge na kupokea posho za ubunge au anarudi kwenye nafasi yake ya hapo awali kabla ya uteuzi?
Labda kupandishwa basiMula mula kakosana na mama wapi tena
Kuna wizara wanawake hawaziwezi, moja wapo ni Ulinzi, Mambo ya NdaniStergomena alikuwa anasifiwa sana imekuwaje? Mulamula sidhani kama siasa anaziweza ila kihoja ni Bashungwa kuwa waziri wa ulinzi.
Hata mwamtum maizaa na Hawa ghasia nae aliwai kuwa waziri usishangaeNawaza kwamba ni kweli Kairuki ataiweza wizara ya TAMISEMI??
Nchi hii naona inauhaba sana wa watu wanazunguka walewale wanatenguana na kuteuana tena walewale ni kazunguko tu
Hebu tuwataje walioteuliwa na rais:-Halafu, hadi sasa idadi ya wabunge wa kuteuliwa imefikia ngapi?
Au ile video ya mama kushare juice na rais Nyusi itakuwa ilipigwa na Mulamula ama mmoja wa wasaidizi wake (Mulamula)Inaweza kuwa ile siku Mama kapakiwa kwenye daladala Uingereza kimemuudhi!😁
Katibu mkuu tamisemi kipind hichoHivi yule mzee aliyekua katibu mkuu TAMISEMI enzi za JPM, nafikiri jina lake ni Joseph Nyamhanga, akasimamia miradi kibao ambayo ndiyo inayozinduliwa sasa, mbona kama wamempotezea,
Kweli tenda wema nenda zako
Anatafutiwa madini Kama ilivyo kuwa zamaniMulamula kakosea wapi?Kairuki ataweza kweli Tamisemi ?
Ile clip ilioonesha mama anashare juice na rais Nyusi imeenda na MulamulaKwa Mulamula nadhani alizidi kupoa sana na Siasa inataka mashamsham haswa ya awamu hizi tokea JPM.
Bab ake alikuwa mshikaji wake na jiwe Sana ndio mnk jiwe kambeba juu kwa juu nae mam kaingia mzim mzimaSwali la kujiuliza ni, who is Bashungwa? Kwa nini aliaminiwa tangu enzi za mwendazake hadi kwa mama anazidi kuaminiwa? Mkuu MALCOM LUMUMBA msaada tafadhali..
Anandaliwa Kaz wazir mkuu mbeleniYaani bashungwa Domo Zito ndio WU?
Ikiwezekana rais mwenyewe awe tamisemi tuone
Wizara ya TAMISEMI inatakiwa iwe na Waziri mkali sana.
Kiufupi inatakiwa Waziri wa TAMISEMI awe na 'roho mbaya' sana na asiwe na huruma dhidi ya wizi au uzembe unaopelekea mali ya Umma kupotea.
Sina hakika kama aliyetoka na aliyeteuliwa wana sifa hizo.
Labda ndani ya CCM kuna uhaba wa watu wanaofaa kuwa Mawaziri ama tunateuana kwa kuangalia kama tunajuana.
I see!Bab ake alikuwa mshikaji wake na jiwe Sana ndio mnk jiwe kambeba juu kwa juu nae mam kaingia mzim mzima
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Inatakiwa watano me na tane ke Sasa sujui wanazingatia hiloHebu tuwataje walioteuliwa na rais:-
Mbarawa
Chamriho
Polepole
Bashiru
Stergomena
Mulamula
Angela Kairuki
...
......
......
.....
.......
.ongezeeni na ninyi
Washazidi Sana tu.Inatakiwa watano me na tane ke Sasa sujui wanazingatia hilo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Bado namuonaga mvivu na Hana exposure ya Kaz anazopewamnk kila wizara inamshindaI see!
Ila wanasema ukibebwa bebeka, labda baada ya kubwebwa na jiwe kameonyesha utulivu na umakini kwenye nafasi kalizopewa?