Rais Samia afanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Angellah Kairuki aenda TAMISEMI, Balozi Mulamula atemwa, Bashungwa ahamishwa

Amenyangaywa ubunge atakuwa balozi England

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nawaza kwamba ni kweli Kairuki ataiweza wizara ya TAMISEMI??
Nchi hii naona inauhaba sana wa watu wanazunguka walewale wanatenguana na kuteuana tena walewale ni kazunguko tu
Hata mwamtum maizaa na Hawa ghasia nae aliwai kuwa waziri usishangae

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Halafu, hadi sasa idadi ya wabunge wa kuteuliwa imefikia ngapi?
Hebu tuwataje walioteuliwa na rais:-
Mbarawa
Chamriho
Polepole
Bashiru
Stergomena
Mulamula
Angela Kairuki
...
......
......
.....
.......
.ongezeeni na ninyi
 
Hivi yule mzee aliyekua katibu mkuu TAMISEMI enzi za JPM, nafikiri jina lake ni Joseph Nyamhanga, akasimamia miradi kibao ambayo ndiyo inayozinduliwa sasa, mbona kama wamempotezea,

Kweli tenda wema nenda zako
Katibu mkuu tamisemi kipind hicho

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ikiwezekana rais mwenyewe awe tamisemi tuone

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…