Punguani mkubwa, kwa taarifa hakuna alowahi kuwa mwadilifu tanesco kama mramba.Magufuli hakuwa na chuki na watu bali utendaji wabovu na wala rushwa
Huyu jamaa Mramba ni Inner cycle ya ule mfumo mbovu uliotumbuliwa,
so naona jitihada za kuendelea kurudisha kale ka 'system' kanaendelea
Tatizo mwendazake alianzisha upendeleo, aliteua kulingana na kabila lake au kanda yake na hasa dini yake.Mama, pole na majukum!, Uzi huu unakupima na unamadhra kwako. Acha viashiria vya udini. Huku mitaani tunaishi na mademu wa dizaini hizo, wanakumind halafu wapo radhi wajinyonge iwapo itajulikana uana kula goodtime na wao., Acha udini, sio poa,
Maisha ni uhalisia, hakuna maigizo, tuheshimu ustaarabu wa neutral. Wa Serikali.
Asante.
Sijakusoma vemaHao jamaa waliohamishiwa utumishi wa umma na utawala bora kutoka Tanesco nanong'onezwa sikioni kuwa ni "wale jamaa zetu"" mission accomplished
Hakuna mchaga aliyekua anapewa madaraka kwa kubebwa, sifa ndizo ziliwabeba, magufuli alitamka hadharani kuwa wachaga wangoje kwanza ila wao hawakungoja wakatumia vipaji vyao kwenda upande wa pili wa ujasiriamali, ingawa jamaa aliwafuata huko na kukomba hela ktk account zao bado walitulia.Wachaga walijengewa mentality kwamba lazima wawe viongozi kwenye idara mbalimbali za serikali. Wakakutana na Magufuli anayewajua vyema walivyo vibaka, akawapiga pini la hatari
Mramba hajateuliwa tanescoHivi hata Mramba ni Ustadh kumbe
bila kumsahau waziri wa nishati! mambo ni moto kabisaM/kiti wa bodi Ya Tanesco Ni Muislam
DG Wa Tanesco pia ni Muislam
DG Wa Rea Ni Muislam Pia
Ts Islamic State
Bakwata Wanaupiga Mwingi Sana
Alipandisha bei za umeme kiholela panga likampitia awe makini safari hiiSubira huvuta kheri. Hatimaye Mungu amemsemea Mhandisi Mramba. Hapa ndipo unapoamini System inafanya kazi yake. Mramba in Mwadilifu LAKINI aliondolewa kwa sababu.......
Bakwata ndio wanaoteua?? Acha uchonganishi.M/kiti wa bodi Ya Tanesco Ni Muislam
DG Wa Tanesco pia ni Muislam
DG Wa Rea Ni Muislam Pia
Ts Islamic State
Bakwata Wanaupiga Mwingi Sana
Wewe utakufa kihoro na chuki zako.Msiishie kuteua tu...jengeni na misikiti kabisa ili mpige swala tano....
I thought yupo hadi 2035, au mimi ndio sielewi.Wewe utakufa kihoro na chuki zako.
Mama ataemdelea kuteua waislam kama kawaida na she is here to stay mpaka 2030 huko.
Ikikuuma sema
Hiyo ndio kazi yenu mkuu.Hao jamaa waliohamishiwa utumishi wa umma na utawala bora kutoka Tanesco nanong'onezwa sikioni kuwa ni "wale jamaa zetu"" mission accomplished
Shauri yenuI thought yupo hadi 2035, au mimi ndio sielewi.
Kipindi hiki si ni zari tu!??. Au katiba inasema vipi?!.
Aàaaah wapiHakuna mchaga aliyekua anapewa madaraka kwa kubebwa, sifa ndizo ziliwabeba, magufuli alitamka hadharani kuwa wachaga wangoje kwanza ila wao hawakungoja wakatumia vipaji vyao kwenda upande wa pili wa ujasiriamali, ingawa jamaa aliwafuata huko na kukomba hela ktk account zao bado walitulia.
Kwenye wizi sina hakika ila roho mbaya naunga mkono.Bora ateue waislamu wote, sisi wakristo ni majizi na roho mbaya.
Kwa hiyo unataka kuniambia kule CRDB wenye vigezo vya kuajiriwa ni wachaga peke yako, maana huko ndio mmejazana utafikri ile ni benki ya wachaga.Hakuna mchaga aliyekua anapewa madaraka kwa kubebwa, sifa ndizo ziliwabeba, magufuli alitamka hadharani kuwa wachaga wangoje kwanza ila wao hawakungoja wakatumia vipaji vyao kwenda upande wa pili wa ujasiriamali, ingawa jamaa aliwafuata huko na kukomba hela ktk account zao bado walitulia.
Hivi bado uteuzi wake kumbe?[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Mkeka wa ma Das vp au umeexpire?
Wakuu,Kwenye wizi sina hakika ila roho mbaya naunga mkono.
Ila pia waislam wana lao moja NALO ni udini uliopitiliza.
Ukiweka management ya waislamu watupu basi hapo patakua nssf ya 2005-15..
Tena enzi hizo za 2005-15 wizi ulikuwa umekithiri chini ya utawala wa hao jamaa.
Cha msingi changanya 50/50 ili akosekane wa kuanzisha udini
Sorry but not sorryWhaaaaat!