Rais Samia afanya uteuzi. Katibu Mkuu Kiongozi ahamisha Vigogo 5 TANESCO

Rais Samia afanya uteuzi. Katibu Mkuu Kiongozi ahamisha Vigogo 5 TANESCO

M/kiti wa bodi Ya Tanesco Ni Muislam
DG Wa Tanesco pia ni Muislam
DG Wa Rea Ni Muislam Pia

Ts Islamic State

Bakwata Wanaupiga Mwingi Sana
Tanzania is slowly being transformed into an Islamic state.
 
Nani alikua less qualifued wakati Magu alikua anateua maprofesa tu, ama na hao ni less qualifued?

Hii ya kusema Magufuli aliteua wote kanda ya ziwa ni uongo pia. Magufuli anawwza kusemwa kwa mambo mengine mabaya ila sio ya ukabila. Hii ni kampeni ilianzishwa na watu wa kaskazini hasa wachaga kumchafua Magufuli ila haikua kweli.
Wachaga walijengewa mentality kwamba lazima wawe viongozi kwenye idara mbalimbali za serikali. Wakakutana na Magufuli anayewajua vyema walivyo vibaka, akawapiga pini la hatari
 
Kuna ubaya gani Kama kazi wanafanya na hawatuteki?
Mbona Magu alijaza wasukuma wakawa wanatuteka na kutulazimisha tuwaabudu?

Mkristo akiwa na roho mbaya ana tofauti gani na Muslims mwenye roho mbaya?
Kingai ni Msukuma ?
 
Mama, pole na majukum!, Uzi huu unakupima na unamadhra kwako. Acha viashiria vya udini. Huku mitaani tunaishi na mademu wa dizaini hizo, wanakumind halafu wapo radhi wajinyonge iwapo itajulikana uana kula goodtime na wao., Acha udini, sio poa,

Maisha ni uhalisia, hakuna maigizo, tuheshimu ustaarabu wa neutral. Wa Serikali.

Asante.
 
Kwenye kusifiwa na kuabudiwa huyu nae anapenda sana
Si uliona tukio la leo alivyokuwa akifurahi kuabudiwa na kupewa sifa za uongo. Eti hotuba ya kihistoria
[emoji23][emoji23][emoji23]hili tukio limenichosha Hadi kuhutubia UN Napo mapokezi ila sio mbaya kumtia moyo our chief Hangaya kajitoa haswa jiwe alikimbiaga kwenda huko nje so kongole kwake
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hili tukio limenichosha Hadi kuhutubia UN Napo mapokezi ila sio mbaya kumtia moyo our chief Hangaya kajitoa haswa jiwe alikimbiaga kwenda huko nje so kongole kwake
Hakuna nafuu yoyote kwa Hawa watu. Subiri baada ya mwaka utaelewa.
2023 huko na kuendelea kutakuwa na mabalaa Kama ya jiwe.
 
Kateua wengi based kanda ya ziwa hata waliokuwa less qualified and no one questioned about it, so sioni shida kulaumu teuzi hizi mpya
Watu walipiga kelele sana. Unadhania “Sukuma gang” limeanzia wapi?!
 
Subira huvuta kheri. Hatimaye Mungu amemsemea Mhandisi Mramba. Hapa ndipo unapoamini System inafanya kazi yake. Mramba in Mwadilifu LAKINI aliondolewa kwa sababu.......
Magufuli hakuwa na chuki na watu bali utendaji wabovu na wala rushwa

Huyu jamaa Mramba ni Inner cycle ya ule mfumo mbovu uliotumbuliwa,
so naona jitihada za kuendelea kurudisha kale ka 'system' kanaendelea
 
Mimi heri Samia mara elfu kuliko magufuli bana tulikuwa tunaishi kwa hofu mda wote full mauonevu aaargh, Bora maustaadhi huwa hawaonei mtu vibaya atleast huwa wako fair, hawapendi kusifiwa wala kuabudiwa aisee
Ila mimi nina chuki na Samia ile mbaya natamani hata Hamza angempiga yeye shaba,amefanya maisha kuwa magumu zaidi na hakuna hope tena,bora Magufuli mara 100
 
Hao jamaa waliohamishiwa utumishi wa umma na utawala bora kutoka Tanesco nanong'onezwa sikioni kuwa ni "wale jamaa zetu"" mission accomplished
 
Back
Top Bottom