Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Shenzi sana hawa makafiri hawa
Wana hila sana ila tunawajua
Huyu anatafuta mme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shenzi sana hawa makafiri hawa
Ndio alikuwa MD wa TANESCO kabla ya Mwinuka huyu aliyeondolewa leo.Mkuu naomba nikumbushe huyu jamaa amewahi kuwa nani huko nyuma Hilo jina sio geni kwenye medani ya uongozi...
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, akichukua nafasi ya Dkt. Tito Mwinuka
Kabla ya uteuzi huo, Chande alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Multichoice Afrika Kanda ya Afrika Mashariki na Magharibi
Vilevile, Rais Samia amemteua Omari Issa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO
====
Rais Samia amemteua Hassan Seif Said kuwa Mkurugenzi Mkuu Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Kabla ya uteuzi, alikuwa Meneja wa Kanda Mwandamizi wa Kanda ya Mashariki TANESCO
Aidha, Michael Minja ameteuliwa kuwa Kamishna wa Petrol na Gesi, Wizara ya Nishati. Kabla ya kuteuliwa, Minja alikuwa Mkurugenzi Mkuu TIPPER
Vilevile, Rais amemteua Felschemi Mramba kuwa Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu
=====
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga amewahamisha Watumishi Waandamizi watano kutoka TANESCO kwenda Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambapo watapangiwa majukumu mengine
Waliohamishwa ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji Uwekezaji, Khalid James; Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usambazaji na Masoko, Mhandisi Raymond Seya na Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usafirishaji, Mhandisi Isaac Chanje
Wengine ni Nyelu Mwamaja (Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi) na Amos Ndegi (Mwanasheria wa TANESCO)
View attachment 1952485
View attachment 1952487
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Msini ni mteuzi.Wewe ulitakaje, awe Paulo au James.
Wacha udini.
Nikweli watu hawaelewi.Hapo ndio watu wengi wanakosea. Level ya MD haihitaji elimu ile taaluma. Hapo ni suala la umahiri wa uongozi tu. Namna gani ataangalia v
CV za wale wasaidizi wake na kuwapangia majukumu.
Hapo ni leadership and management combined. Sio elimu ya electrical.
Tumewahi kuwa MD wa Muhimbili ambaye hakuwa Daktari.
Sio roho mbaya mkuu Ila haya Mambo yanatakiwa yasijitokeze Sana yanaweza kutuletea shida baadae.Kweli kabisa wacha wajae tu at least huwezi kusikia kashfa na wizi ule wa escrow na EPA na wengine kugawana pesa mpaka kwa viongozi wakubwa wa dini yako hiyo
Umejaza server kwa mambo ya hovyo sana
Acha discrimination against Islam
Hautafaidi kitu
Ukweli unajulikana ni nani wamekula keki ya nchi kwa miaka tena bila aibu
Utakufa na roho mbaya
Ushabiki wako Ni Kama ule wa yule mange kimambi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huna uwezo wa kumchomoa Mama wewe. Wewe ni kapuku tu.
Mama is here to stay!
Ikikuuma sema
Udini Ni kitu mbaya Sana mkuu ndo maana inabidi itumike busara kubwa Sana hata kwenye promotion ya nafasi mbalimbali watu wasinuse hata harufu ya Jambo ilo watanzania tumejengwa kwa misingi ya umoja na mshikamo bila kujali itikadi zetu.Sidhani km ni afy kuwa na jicho la udini kiasi hicho unless unafanya harakati za kupigania dini yako itawale
Chamsingi tujaji kwa ueledi na uchapakazi wa muhusika regardless ni wa dini yako Au mwemzako
Udini ni dhana mbaya sana na itatutafuna mpaka tunaingia kaburini
Mimi ni Muslim lakini sikubaliani na huyu maza kwa sababu TU utendaji wake unalega lega but dini hainihusu HAPA
Tuwe na jicho la utendaji si udini mkuu
Msiishie kuteua tu...jengeni na misikiti kabisa ili mpige swala tano....You care, that's why kuteuliwa waislam unaumia sana.
Na mama atazidi kuteua ili uzidi kuumia
Ni Ardhi na MbinguMultichoice na TANESCO ni mbingu na ardhi
Ndio ukweli huo bana why should I lieVijukuu vya mtum.......zamu yao sasa
Acha urongo weye
Mimi heri Samia mara elfu kuliko magufuli bana tulikuwa tunaishi kwa hofu mda wote full mauonevu aaargh, Bora maustaadhi huwa hawaonei mtu vibaya atleast huwa wako fair, hawapendi kusifiwa wala kuabudiwa aiseeSamia ana mapungufu mengi ila ni bora kuliko yule aliyetaka tumwabudu
Yaan wengine walimwita yesu
Wengine wakamtaka Mungu amshukuru.
Hata kila idara akiwa Muslims ni sawa ili mradi wasituletee Mambo ya Magu.
Jirani msukuma anafanya kazi usalama basi na yeye mtaa ulilazimika kumuabudu
That's practically impossible. Wateuzi na wanasiasa, CCM hao hao particularly kwa maana ndio wana dola. Watake wasitake lazima waangaliwe. Shirika haliwezi kiwa na ufanisi kwani hata akiingia mkurugenzi mpya na bodi mpya hawana time frame ya maono na utekelezaji, na hata akija raisi na waziri mwingine kesho na yeye anafumua tu kutokana na utashi wake.Wakifanya hivyo bei zitakuwa hazishikiki. Waache tu kufanya siasa zao ndani ya shirika hilo na wawaachie management wafanye maamuzi bila kuingiliwa na maccm na watendaji wa Serikali pale madini na Ikulu.
Sio roho mbaya mkuu Ila haya Mambo yanatakiwa yasijitokeze Sana yanaweza kutuletea shida baadae.