CABANA
JF-Expert Member
- Feb 6, 2013
- 420
- 556
Mkuu naomba nikumbushe huyu jamaa amewahi kuwa nani huko nyuma Hilo jina sio geni kwenye medani ya uongozi...Felschemi again
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu naomba nikumbushe huyu jamaa amewahi kuwa nani huko nyuma Hilo jina sio geni kwenye medani ya uongozi...Felschemi again
Anaweza kuwa mzuri Ila kama hana background ya electrical engineering itamchukua muda kupata uzoefu na shughuli za Tanesco.U yo jamaa alietoka Multichoice yuko vizur sana.
Tanesco wameula[emoji106]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, akichukua nafasi ya Dkt. Tito Mwinuka
Kabla ya uteuzi huo, Chande alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Multichoice Afrika Kanda ya Afrika Mashariki na Magharibi
Vilevile, Rais Samia amemteua Omari Issa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO
====
Rais Samia amemteua Hassan Seif Said kuwa Mkurugenzi Mkuu Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Kabla ya uteuzi, alikuwa Meneja wa Kanda Mwandamizi wa Kanda ya Mashariki TANESCO
Aidha, Michael Minja ameteuliwa kuwa Kamishna wa Petrol na Gesi, Wizara ya Nishati. Kabla ya kuteuliwa, Minja alikuwa Mkurugenzi Mkuu TIPPER
Vilevile, Rais amemteua Felschemi Mramba kuwa Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu
=====
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga amewahamisha Watumishi Waandamizi watano kutoka TANESCO kwenda Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambapo watapangiwa majukumu mengine
Waliohamishwa ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji Uwekezaji, Khalid James; Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usambazaji na Masoko, Mhandisi Raymond Seya na Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usafirishaji, Mhandisi Isaac Chanje
Wengine ni Nyelu Mwamaja (Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi) na Amos Ndegi (Mwanasheria wa TANESCO)
View attachment 1952485
View attachment 1952487
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Yeah waache waupige mwingi.M/kiti wa bodi Ya Tanesco Ni Muislam
DG Wa Tanesco pia ni Muislam
DG Wa Rea Ni Muislam Pia
Ts Islamic State
Bakwata Wanaupiga Mwingi Sana
Ndio ni mdini, kwa hiyo???Hii ilionekana kabla.
Kwa TANESCO alieachwa ni huyo jamaa muislamu ambae amepewa cheo REA.
Huyu mama ni mdini sana.
Ndio ni mdini, kwa hiyo???
Kwahiyo ndio unataka kusemaje??Ofisi Nzima Pale Ikulu Wamejaa Waislamu Tu
Rais _ Muislam
CS - Muislam
Km Ofsi Ya Rais Ikulu ni Muslam
Chief of Protocol ni Muislam
Wasaidizi wa Rais 8 pale Ikulu 6 ni waislam na 2 ndio Wakristo
Yeah na tutaendelea kumshangilia.Mkuu tupo pamoja......huyo ndio Rais Samia...zingine zote kelele tu...huu ndio mwingi anaoupiga sasa..
Tunamchomoa sio muda akafanyie u alkaida wake Zanzibar.Ndio ni mdini, kwa hiyo???
Vatican stateIslamic State
Vijukuu vya mtum.......zamu yao sasaKudadeki...
Mbona Majina yamekee kama Dini Moja hivi? Au mawazo yangu tuu?
Hapo ni Makamba tu ameamua asafishe nyumba ajimwaemwae na mikataba.
Dada mwanvita kule South atashaini hatari
Mtasema sanaaaaaaa na usiku mtalalaNot so much, alipokuwa Hod IT&billing Vodacom alibagua watu kutokana na vyuo walivyosoma. Hupati kazi km hujasoma Udsm. Huyu ndo alikuwa Mzee wa kile kikundi Cha kubadirisha matokeo ya Lowassa kikiwa chini ya Januari Makamba. Sasa wamerudi tena dimbani
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO, akichukua nafasi ya Dkt. Tito Mwinuka
Kabla ya uteuzi huo, Chande alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Multichoice Afrika Kanda ya Afrika Mashariki na Magharibi
Vilevile, Rais Samia amemteua Omari Issa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO
====
Rais Samia amemteua Hassan Seif Said kuwa Mkurugenzi Mkuu Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Kabla ya uteuzi, alikuwa Meneja wa Kanda Mwandamizi wa Kanda ya Mashariki TANESCO
Aidha, Michael Minja ameteuliwa kuwa Kamishna wa Petrol na Gesi, Wizara ya Nishati. Kabla ya kuteuliwa, Minja alikuwa Mkurugenzi Mkuu TIPPER
Vilevile, Rais amemteua Felschemi Mramba kuwa Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu
=====
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga amewahamisha Watumishi Waandamizi watano kutoka TANESCO kwenda Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambapo watapangiwa majukumu mengine
Waliohamishwa ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji Uwekezaji, Khalid James; Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usambazaji na Masoko, Mhandisi Raymond Seya na Naibu Mkurugenzi Mtendaji Usafirishaji, Mhandisi Isaac Chanje
Wengine ni Nyelu Mwamaja (Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi) na Amos Ndegi (Mwanasheria wa TANESCO)
View attachment 1952485
View attachment 1952487
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Shenzi sana hawa makafiri hawaKweli kabisa wacha wajae tu at least huwezi kusikia kashfa na wizi ule wa escrow na EPA na wengine kugawana pesa mpaka kwa viongozi wakubwa wa dini yako hiyo
Umejaza server kwa mambo ya hovyo sana
Acha discrimination against Islam
Hautafaidi kitu
Ukweli unajulikana ni nani wamekula keki ya nchi kwa miaka tena bila aibu
Utakufa na roho mbaya
Samia ana mapungufu mengi ila ni bora kuliko yule aliyetaka tumwabudu
Yaan wengine walimwita yesu
Wengine wakamtaka Mungu amshukuru.
Hata kila idara akiwa Muslims ni sawa ili mradi wasituletee Mambo ya Magu.
Jirani msukuma anafanya kazi usalama basi na yeye mtaa ulilazimika kumuabudu
alipata kua mkurugenzi mtendaji wa tanesco, kipindi cha Magu, akataka kupandisha bei ya umeme, akang'olewaMkuu naomba nikumbushe huyu jamaa amewahi kuwa nani huko nyuma Hilo jina sio geni kwenye medani ya uongozi...
watu mna "macho" kweli.....kumbe mnaona ka trend eenh...Islamic State
Vijukuu vya mtum.......zamu yao sasaKudadeki...
Mbona Majina yamekee kama Dini Moja hivi? Au mawazo yangu tuu?
Hapo ni Makamba tu ameamua asafishe nyumba ajimwaemwae na mikataba.
Dada mwanvita kule South atashaini hatari
Acha urongo weyeUsisingizie ukaskazini magufuli alikuwa na favoratism sana na kubeba wakanda yake sasa wanawekwa wengine mnalia lia tu nakulalamika as usual, huyo Waziri alikuwa wa kanda gani, igp, mkuu wa majeshi, mkurugenzi wa TRC, wakurugenzi wa wilaya je?
Huna uwezo wa kumchomoa Mama wewe. Wewe ni kapuku tu.Tunamchomoa sio muda akafanyie u alkaida wake Zanzibar.