Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
Kwamba walioondolewa hapo wote ni wasukuma ama jiwe aliteua wasukuma kila idara?Mbona jiwe akichagua kabila lake hamukuongea hvo.?
Huu ni uongo wa wazi na unatumiwa na watu wasio na akili pekee.