Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Wakati Dr Slaa anavunjwa mikono , rais alikuwa mkristo ?Hafu Zanzibar kule almost ni waislamu tu kule Sasa ulitaka achague wapi?
Hafu Mimi hupenda viongozi wa kiislamu sana ingawa ni mkristo, Rais alikuwa mkristo ila uonevu wake na mauaji ya watu Hadi kwa viroba na alikuwa anataja Mungu na kuhutubia kanisani daily ila anavunja katiba
Utu ndio ule ambao vijana wa Simon Sirro wanawafanyia wanachama wa vyama vya upinzani ?Yuko fair somehow no vitisho na kuzalilisha watu hadharani ana kautu kidogo
Nimerudia sijaona hoja ya msingi hapoRudia kusoma nilichokiandika.
Wakina Mushi na MrossoUlitaka kina nani wajazane huko wewe?
Yote haya hayaondoi ukweli kuwa magufuli aliweka mbele ukabila ,udini na ukanda kuanzia kwenye nafasi za uongozi mpaka mgawanyo wa rasilimali za nchi.Acha kujilisha upuuzi
Mramba aliondolewa baada ya tanesco kuwasilisha pendekezo la ongezeko la tarrif la 8%,
Aliyekuwa waziri wa Nishati kipindi hiko Prof Muhongo alitengua mapendekezo hayo na January 2017 Mramba akaondolewa kisha Dr Mwinuka ndio akateuliwa
Sasa na huyó Dr Mwinuka alikuwa Msukuma!???
Unaposema Jpm aliwachukia wachaga, je hufahamu kuwa Prof Adolph Mkenda aliteuliwa na Jpm kuwa katibu mkuu viwanda na biashara,,,, Je huyu Mkenda sio kutoka Jamii ya mkoa wa Kilimanjaro
Na ingekuwa ana chuki hiyo, je idara nyeti kama ya Mkurugenzi Mkuu TISS angewekwa bw Msuya!???
Washauri ndugu na Jamii yako wawe waadilifu, wasiwe wezi wezi na watu wa 'kitu kidogo' ili wasije kukumbwa na mkono wa kiongozi mwenye kutaka waadilifu
Leo hii kiongozi wa Serikali akifanya maamuzi ya kuwaondoa ombaomba mjini, basi kama tutaangalia kwa muktadha wa kabila lipi litakaloathirika sana basi ni wagogo, na ndio wataanza kumchukia na kusema huyu kiongozi hatupendi sisi wagogo
Acha hofu hata sisi hatukuwa na hofu kwamba makanisa yatajengwa huko kwenye mashirika ya serikali wakati wa awamu iliyopita.Duuu tumwfikia huku Tanesco imekuwa kama Nssf miaka 2015 kurudi nyuma na misikiti itakuwemo humo ndani...ingawa nasikia Maharagwe sio mnazi kivile mambo ya dini.....tusubiri tuone
Acha kujitoa ufahamu mkuu. Natoa mifano nchi hii zanzibar rais utampata wapi mkristo kwenye idadi ya wazanzibari asilimia 99%? Niambie ni lini Tanzania iliwahi kuwa na makamu wa rais ambaye ni dini moja na rais aliyepo madarakani? Hapa tunazungumzia nafasi za uteuzi zile ambazo anazo rais siyo kama ulizotaja hapo juu za kitaifa.Mimi sioni tatizo hata akiteuwa wakristo au waislam wengi kama ni wachapa kazi na sio wala rushwa!!
Lakini tusisingizie mtu uongo. Kipindi cha Magufuli ngazi zote za juu walikuwa waislam:
1) Makamu wa rais - Mwislam
2)Rais wa Zanzibar- Mwislam
3) Waziri Mkuu - Mwislam
4) Jaji Mkuu - Mwislam
5)Katibu Mkuu kiongozi - Mwislam
6) Mkuu wa Usalama wa Taifa - Mwislam
7)……
Haya Sasa gombaneni wenye maslahi yenu.Acha hofu hata sisi hatukuwa na hofu kwamba makanisa yatajengwa huko kwenye mashirika ya serikali wakati wa awamu iliyopita.
[emoji23][emoji23][emoji23]kufa kufaana mzee babaAwamu hii hata wakina Mushi na Mrosso mmekumbukwa.
RIP Profesa Magu
Bora yeye alivunjwa mkono vipi waliouliwa na makaburi Yao hayajaonekana mpaka leo Tundu lisu alifyatuliwa marisasi mengi kama gaidiWakati Dr Slaa anavunjwa mikono , rais alikuwa mkristo ?
Siro kawafanyaje hao upinzani maana wengi waliachiwa huruUtu ndio ule ambao vijana wa Simon Sirro wanawafanyia wanachama wa vyama vya upinzani ?
Wao wako busy na biashara na kujiajiri ndio maana hata nafasi za uongozi hawajawahi kuzipata kwa wingi ka wa kanda ya ziwaWakina Mushi na Mrosso
Kikwete na SheinAcha kujitoa ufahamu mkuu. Natoa mifano nchi hii zanzibar rais utampata wapi mkristo kwenye idadi ya wazanzibari asilimia 99%? Niambie ni lini Tanzania iliwahi kuwa na makamu wa rais ambaye ni dini moja na rais aliyepo madarakani? Hapa tunazungumzia nafasi za uteuzi zile ambazo anazo rais siyo kama ulizotaja hapo juu za kitaifa.
Hakuna mwenye maslahi mkuu ila kwenye ukweli tuseme mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.Haya Sasa gombaneni wenye maslahi yenu.
Me nipo kimya najuwa hata niwe dini Ile kabila hili hakuna ataenikumbuka! Ngojea nikazane shambani kwangu tu
Sasa unategemea kwa idadi ya waislam zanzibar chance ya kumpata vice president mkristo unaitoa wapi? Tumia akili kufikiriKikwete na Shein
Kikwete na Bilal.!
Kumbe wewe futuhiii[emoji33][emoji33][emoji33]ni wakati gani dr shein alikuwa makamo wa rais,bilal, wakati wa mwinyi piaAcha kujitoa ufahamu mkuu. Natoa mifano nchi hii zanzibar rais utampata wapi mkristo kwenye idadi ya wazanzibari asilimia 99%? Niambie ni lini Tanzania iliwahi kuwa na makamu wa rais ambaye ni dini moja na rais aliyepo madarakani? Hapa tunazungumzia nafasi za uteuzi zile ambazo anazo rais siyo kama ulizotaja hapo juu za kitaifa.
Huyu mchaga atajaza familia yake huko , kama mwenda zake alivyojaza kabila lakeSubira huvuta kheri. Hatimaye Mungu amemsemea Mhandisi Mramba. Hapa ndipo unapoamini System inafanya kazi yake. Mramba in Mwadilifu LAKINI aliondolewa kwa sababu.......
Ila ndiyo itakuwa indicator nzuri ya kuona ufanisi maana nalo bila ufanisi ndiyo tutarudi kwenye madeni ya kudumu...Nawaombea kila la heri wasiturudishe tu kule kwenye escrow!TANESCO, shirika pekee la umma lililobaki unaloweza kupiga pesa nyingi kwa mkupuo
Mimi napiga story free hata kipindi cha Magu,huyu bibi anacheka huku mnafiki ndo shetani kabisaSinaona tu hali ilivo kwa sasa tuko free sana tu hata kupiga story kwa uwazi.
Mhhhh kwenu wapi hujui viongozi wako[emoji85][emoji85][emoji85]Mimi sioni tatizo hata akiteuwa wakristo au waislam wengi kama ni wachapa kazi na sio wala rushwa!!
Lakini tusisingizie mtu uongo. Kipindi cha Magufuli ngazi zote za juu walikuwa waislam:
1) Makamu wa rais - Mwislam
2)Rais wa Zanzibar- Mwislam
3) Waziri Mkuu - Mwislam
4) Jaji Mkuu - Mwislam
5)Katibu Mkuu kiongozi - Mwislam
6) Mkuu wa Usalama wa Taifa - Mwislam
7)……