Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

NAFASI YA WHO NI NZURI SANA LAKINI SITATAMANI KABISA JANABI AONDOKE MUHIMBILI MUDA HUU

MPOKI ULISUBISYA ANAFAA SANA KUGOMBEA NAFASI HIYO.

TAFADHALI SANA JANABI ASIONDOKE MUHIMBILI WAKATI HUU
Haya mambo Yana siasa ndani yake,
Hivi kabla ya kifo Cha Ndungulile, ulikuwa unaojua ni family friend na Mzee Kikwete?

Kwamba Mzee Kikwete alifanya kazi na babaake Ndungulile Foreign Affairs,
 
Janabi aanze na bajeti ya chakula pale ikulu, pakti moja ya karanga wanakula watu wawili, na maji ya kuchemsha
 
Naona shemeji yetu anaendelea na tamisemi yake ili uchaguzi mkuu afanye yale aliofanya kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa.
 
Bashungwa anaenda kuchafuliwa Sasa na mbio zake za urais 2025 ndio Basi tena
Licha ya ukweli kwamba hakuna mtu ataiweza wizara ya mambo ya ndani kama atakubaliana na vya kunyonga vya CCM, Bashungwa bado yupo mbali sana na Urais.
 
Mteule, mwingine huyu hapa!
Sijajua Huwa anashauriwa na nani!!
 

Attachments

  • IMG-20241208-WA0022.jpg
    109 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…