Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Profesa Mohamed Yakub Janabi kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Afya na Tiba ambapo pamoja na uteuzi huu, Profesa Janabi ataendelea kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili. #MillardAyoUPDATES
 

Attachments

  • 1733665331133.jpg
    296.7 KB · Views: 3
Angeandikwa DAKTARI wa Rais,japo ndo DHUMUNI,ila kutokana na watu kuweza kuhoji,itakua ndomaana IMEANDIKWA HIVYO,kuondoa taharuki.
 
Reactions: rr4
Huyu atatuulia Rais wetu,hivi kweli mh.Rais anywe maji asubuhi,ale mchana kidogo na usiku asile kitu anywe maji peke yake.....
 
Hakuna tija yoyote unatoa takataka eneo A unapeleka eneo B

Huu ni muendelezo wa matukio kuficha madudu ya uchafuzi wa serikali za mitaa.

Si mnaona wenyewe mkwe kabaki pale pale maana yake uchafuzi una baraka za bibi wa Unguja.

Kwa nchi zinazojitambua huyo Masauni alitakiwa kuwa nje ya ofisi yoyote ya umma akipambana mahakamani ila kwa kuwa naye ni mtoto mpendwa kutoka Zanzibar kapelekwa kusiko na macho ya watu wengi kulinda uovu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…