Rais Samia afanya Uteuzi na Mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Makatibu Tawala na Kaimu Kamishna (TANAPA)

Ikiwa history mbele ya huyu bbi natembea Uchi kutoka kimara hadi ubungo
Wewe utakuwa ulilogezwa kupenda kutembea uchi....iko post humu ndani umeshawahi kuweka ahadi hiyohiyo [emoji1787][emoji1787]

Nitajiandaa kukupokea ukiwa uchi pale ubungo.....

#Mama Anaupiga Mwingi[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ee Mungu tuepushe na balaa la huyu maza kilaza. Huwezi kuchukua maafisa wa Serikali kama TANAPA unawaweka ukuu wa Wilaya kazi za kisisiemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…