Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Natamani kujua kwanini mkoa wa Kagera wakuu wa mkoa huo mara nyingi wanapelekwa wanajeshi?
 
Magufuli kishakufa mkuu , jitahidi kwenda na Wakati .
 
Sky ebu nipe maon yako. Huyu Hapi na madhambi yote bado yumo. Samia nimeanza kumchukia sasa
Kusema ukweli Rais ni msikivu lakini kumbuka huko CCM wasafi ni wachache akiamua kuyafanyia kazi yote ghafla atakosa wakufanya nae kazi.
 
Yes kwa uteuzi huu Lema akiludi itakuwa kitu cha kawaida kutembelea ná kafulila majumbani kwao ,Mama Queen Sandiga kwenda kuisalimia familia ya Mchungaji Msigwa Msigwa .
 
kwa hiyo viongozi wawe wa kudumu. Maana kutekeleza plans zako it takes years n years. Haipaswi iwe mtu anatekeleza hili na lile. Yapaswa system ndio iwekwe na ifuatwe ktk kutekeleza mopango ili mtu akifa afilie zake hatta wewe ukimrithi utaendeleza.
 
nimeanza kuwa na mashaka naye. Huyu mama hafai , nasema huko mbele tutakuja juta sana. amenitibua na swumu yangu ya sita kaiua kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan Mother Theresa kajua kuharibu kila kitu wallah, sasa happi na chalamila, wa nn hawa, na anaenda nao wapi? Aaaaaaah.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…