Vikoto kuchenja ndawa ya kyani? Vijovaga dunia mzunguko, ndo ihunguluka ngati cheni naha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]From Chato to Tunguu.....
kweli vindu vichenjaga
Dar ni Amos Makalla
Natamani kujua kwanini mkoa wa Kagera wakuu wa mkoa huo mara nyingi wanapelekwa wanajeshi?Wala changamoto sio kupambana na upinzani kama unavyofikiria wewe.
Mtu kama Gaguta alipelekwa Bukoka kwa sababu ni mwanajeshi, kuna maeneo mengi ya mazoezi yao ambayo wananchi walikuwa wanavamia na kuna wafugaji wa nchi jirani walikuwa wanaingia sana kwenye mapori kulisha mifugo na kuuwa wananchi.
Tangia apelekwe Bukoka ulisikia wafugaji wa kinyarwanda wameua mtu huko?
Magufuli kishakufa mkuu , jitahidi kwenda na Wakati .Mama ilimradi tu afanye lolote aongolewe kwa miaka watu walikuwa wanalalama kubadilisha badilisha wakuu wa mikoa na wilaya kunaondoa consistencies ndio maana Magufuli aliwaacha.
Hao watu kwa muda waliokaa wanafahamu changamoto za maeneo yao, plan zilizokuwepo na changamoto za watendaji wao.
Kingine Magufuli for once alijitahidi kuweka wakuu wa mikoa kutokana na maeneo wanayoyafahamu au skills zao ili watatue changamoto kutokana priority wanazozifahamu wao.
Kusema ukweli Rais ni msikivu lakini kumbuka huko CCM wasafi ni wachache akiamua kuyafanyia kazi yote ghafla atakosa wakufanya nae kazi.Sky ebu nipe maon yako. Huyu Hapi na madhambi yote bado yumo. Samia nimeanza kumchukia sasa
Sisi tulishastaafu bwashee!Sawa bwashee. Wewe vipi unahisi kwenye uDC utakula shavu?
Hakika mkuu!Evod mmanda itabidi kaburi walifukue wakazike kwao
Mtaka Dodoma mkuu!Amos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Bado wanalia lia tu , umesikia kuna taga hata moja humo ? Mzee Mwanakijiji au Pascal Mayalla au le mutuz ?Vipi mataga wamekomeshwa?
kwa hiyo viongozi wawe wa kudumu. Maana kutekeleza plans zako it takes years n years. Haipaswi iwe mtu anatekeleza hili na lile. Yapaswa system ndio iwekwe na ifuatwe ktk kutekeleza mopango ili mtu akifa afilie zake hatta wewe ukimrithi utaendeleza.Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.
Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?
Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Mtaka yupo Dodoma,nadhani ndio jina la kwanza kwenye mkeka wa uteuziAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Kwani wana makosa gani watolewe?Happy na Chalamila wanini tena jamani??
Hapi?Kusema ukweli Rais ni msikivu lakini kumbuka huko CCM wasafi ni wachache akiamua kuyafanyia kazi yote ghafla atakosa wakufanya nae kazi.
Nyie ni wapunbavu!nimeanza kuwa na mashaka naye. Huyu mama hafai , nasema huko mbele tutakuja juta sana. amenitibua na swumu yangu ya sita kaiua kabisa
Labda wamekataaaa c unajua hawakubaliani na serekali hiiii wanaaamini uchaguzi haukua wa hakiAlisema atateua mpaka Wapinzani, Kulikoni ¿
hawa waliwaonea raia wasiokuwa na makosa. chalamila aliwapiga wanafunzi viboko ambayo ni kinyume cha sheriaKwani wana makosa gani watolewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan Mother Theresa kajua kuharibu kila kitu wallah, sasa happi na chalamila, wa nn hawa, na anaenda nao wapi? Aaaaaaah.nimeanza kuwa na mashaka naye. Huyu mama hafai , nasema huko mbele tutakuja juta sana. amenitibua na swumu yangu ya sita kaiua kabisa
Mzee mbowe babayake Freeman ndo mshenga wa makongoroMmm...Kuteuliwa kwa Makongoro Nyerere na Sokoine hizi ni dalili za mtu kupewa UWAZIRI soon!!