Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Ndio maana nikasema Magufuli wasn’t perfect.Makonda alikuwa na skills gani akawekwa Dar? Hakuna watu walikuwa wanaufahamu mkoa wa Dar zaidi yake?
Queen sendeka ameteuliwa. Ni mpinzaniAlisema atateua mpaka Wapinzani, Kulikoni ¿
Chalamila anaendelea kupeta tu Dah!
pole sana mkuu......naona unapinga. hongereni!!Mama ilimradi tu afanye lolote aongolewe kwa miaka watu walikuwa wanalalama kubadilisha badilisha wakuu wa mikoa na wilaya kunaondoa consistencies ndio maana Magufuli aliwaacha.
Hao watu kwa muda waliokaa wanafahamu changamoto za maeneo yao, plan zilizokuwepo na changamoto za watendaji wao.
Kingine Magufuli for once alijitahidi kuweka wakuu wa mikoa kutokana na maeneo wanayoyafahamu au skills zao ili watatue changamoto kutokana priority wanazozifahamu wao.
Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.
Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?
Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Ndo maana mnaimba mapambio kwa mh rais Samia kumbe mnataka Mbowe apate uteuzi! Mtasubiri Sana.Safiii, mbona jina la Mbowe na zitto sijaona? Na makada wengine wa cdm? Huhuhu
Shekhe maziko popote ilhal usitupweNi jambo jema!
Hii ni awamu ya 6
Yule RC wa Mtwara hakumtendea haki rafiki yangu wakili Mmanda aliyekuwa DC kwa kumzika kule maporini.
Kwa Makongoro nimestaajabu cha[emoji482][emoji482][emoji482][emoji481][emoji481][emoji481]Duuh! Happy na Chalamila bado wamo! Makala karudi kundini, Makongoro naye yumo! Kazi iendelee.....
...connecting!Mmm...Kuteuliwa kwa Makongoro Nyerere na Sokoine hizi ni dalili za mtu kupewa UWAZIRI soon!!
😂 😂 😂Mwanza mpo....???
Mtaka ni RC makao makuu Dodoma. Mzee Mahenge amepelekwa Singida, Mzee Makongoro Nyerere yumo wakati huo huo tumeambiwa Eng. Ndikilo ni mzee, umri umepitia na amestaafu. Umri wa Makongoro na Mahenge ni mdogo kuliko Ndikilo?
Mbona wengine hawakufanya kama rahisi ivyo. Kisarawe ilikuwa ina attention leo kama ilivyo sasa chini ya Jokate au we mwenye si ajabu huo msitu wa kazimzumbwi umeujua kupitia ushoroba festival.Plan za Kisarawe zinawekwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe na zinasimamiwa na DED sio Jokate anayeuza sura kwenye Marathon na kina Shilole.
Mkurugenz wa TAKUKURU lake lilikua moja na DPPNaona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!
Ally Hapi bado anakumbukwa!
Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Na kuwahamisha hawa wote ni gharamankubwa mno...unaweza kukuta kila mmoja analamba 20mil Re-allocation.Siyo uteuzi ni uhamisho tu wa wakuu wa mikoa. Kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Mkuu wa JKT Gen Kabuge vipi tena anaondolewa.? Jamaa amesimamia Ujenzi wa ukuta, ujenzi wa Ikulu, na miradi kibao hadi akapandishwa cheo mbele na magufuli.