Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

pole sana mkuu......naona unapinga. hongereni!!
 
Plan za Kisarawe zinawekwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe na zinasimamiwa na DED sio Jokate anayeuza sura kwenye Marathon na kina Shilole.
 
Pia kumbuka Byakanwa ndiye aliharibu shamba la Mbowe kuharibu miundombinu kapata malipo yake kama sabaya sasa anatakiwa alipe
 
Mtaka ni RC makao makuu Dodoma. Mzee Mahenge amepelekwa Singida, Mzee Makongoro Nyerere yumo wakati huo huo tumeambiwa Eng. Ndikilo ni mzee, umri umepitia na amestaafu. Umri wa Makongoro na Mahenge ni mdogo kuliko Ndikilo?

Hizi teuzi baada ya kutaja jina wangeweka umri. Hapo tungepata picha wana umri gani na watastaafu lini
 
Plan za Kisarawe zinawekwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe na zinasimamiwa na DED sio Jokate anayeuza sura kwenye Marathon na kina Shilole.
Mbona wengine hawakufanya kama rahisi ivyo. Kisarawe ilikuwa ina attention leo kama ilivyo sasa chini ya Jokate au we mwenye si ajabu huo msitu wa kazimzumbwi umeujua kupitia ushoroba festival.
 
Asante sana mama Kwa kukukumbuka familia ya Mwasisi wa Taifa letu, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kwa vitendo kwa kumteua Makongoro.

Mungu akubariki mama Samia.
 
Hizo ni kazi za kawaida sana, hakuna cha ajabu.
Mkuu wa JKT Gen Kabuge vipi tena anaondolewa.? Jamaa amesimamia Ujenzi wa ukuta, ujenzi wa Ikulu, na miradi kibao hadi akapandishwa cheo mbele na magufuli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…