lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Mboni sijamuona paulo makonda au ansahulikaa bakkhti mbayaa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amestaafu wamesema mkuu.Ana mgwilla Ameachwa.
Wakuu mimi si mjuzi wa kila kitu hivyo vingine nitoe kwenu Wajuzi.
Je, anacho fanya Rais Samia suluhu ni uteuzi au uhamisho wa kazi.
Kwa jinsi nilivyo ona ni kua taarifa zinatoka hivi.
"Rais Samia amemteua Fulani kua mkuu wa mkoa fulani, akichukua nafasi ya fulani aliye hamishiwa mkoa fulani. Awali fulani alikuwa mkuu wa mkoa fulani"
Je, huo ni uteuzi au uhamisho. Maana ukiangalia uteuzi kafanya kwa wachache kama Sendinga ila wengine naona kama uhamisho tu.
Tujuzane kwa hilo.
Watasubiri sana, wanachuki sana wale system ilishawajuaIngekuwa mkeka wa JPM, Wachagga wangelalamika kwamba wanabaguliwa. Ila kwa sababu ni mkeka wa mama SSH inabidi waugulie ndani kwa ndani.
Sio mbaya, familia ya Nyerere ilisahaulika kidogo!Makongoro ni fadhila tu
AMETEUA WACHACHE SANA ILA WENGINE KAHAMISHA..AMESHINDWA HATA MUPA URC YULE WAZIRI KAIRUKI
Watu wanachange sana tena KE ndo kabisa[emoji848]Hotuba ya Mama siku ya kuapishwa ilinipa matumaini makubwa kwamba ataibadili nchi lakini kauli zake baada ya hapo na maamuzi yake ikiwemo baadhi ya TEUZI yamesababisha matumaini yangu yashuke sana. Ngoja tuangalie anakoelekea.
Kapelekwa PWANI yule mbaba mpole sanaYule Kunenge kapelekwa wapi Mkuu? Alikuwa poa ukilinganisha na muuaji Bashite.
Hapana sio kweli....Uwezo..... Ina maana wanawake bado hawajawa na uwezo wa kuongoza....
Bado wanahitaji "Capacity Building" ili kuweza kumudu majukumu... La sivyo hapa tungewaona..
Nenda Tamisemi site yao Tabora ni moja wapo ya mikoa maskini sana Tanzania sio maneno yangu hizo ni takwimu za serikali. Iringa, Ruvuma, Rukwa mikoa ya kusini inajulikana katika uzalishaji wa chakula nchi hii.Umeshawahi kufika Tabora?
Iringa ndiyo inalisha Tabora?
Hizi dharau kwa mikoa mingine mnazitoaga wapi?
Mkuu wa mkoa anapangiwa vipaumbele kumbe?Unaondoa consistency utendaji kazi unakuwa imara zaidi watu wanapoanza kuelewa strength na weakness za wenzao, tabia za wenzao ili wasikwaruzane na waende vipi pamoja kupanga mipango yao ya muda mrefu.
Nina uhakika Mtaka alikuwa bado na plan zake kibao Simiyu au Chalamila na vita vyake na wafugaji kuingia mbugani Mbeya.
Unawabadilisha wanaenda kuanza na vipaumbele vipya, hiyo inaondoa consistency kwenye kazi na priority za maeneo.
Chukulia mtu kama Jokate na plan zake za kuifanya Kisarawe ichangamke mtu atakaefuata si anaenda achana na plan yote.
Makongoro Nyerere sasa abadilike, akue na ajue hiyo ni Keki yake ya mwisho Mama amempa aile baada ya Kuwaangusha akina Hayati Mkapa, Mzee Kikwete na hata Hayati Magufuli ambao walimbeba kwa kila namna ila akawa habebeki kwa tabia zake za Utoto ( Ujana ) japo sasa ni Mtu mzima.Naona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!
Ally Hapi nae bado anakumbukwa!
Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Umejieleza vizuri kuwa sio mtanzania!Du. Jiwe alikuwa na nia njema sana na nchi yenu. Shida kubwa. Nyie wote wapiga domo hamjui hata nchi kama Tz. Inataka Nini kwa wakati gani. Ukiona unamwelewa sana kiongozi ujue Kuna Shida. Rais sio katibu kata anayefanya kila kitu mwenyewe. Mnapoandika Ni kama vile Rais anafanya yote kwa knowledge binafsi.
Uko sahihi kabisa kwa sehemu kubwa mama kafanya uhamishoWakuu mimi si mjuzi wa kila kitu hivyo vingine nitoe kwenu Wajuzi.
Je, anacho fanya Rais Samia suluhu ni uteuzi au uhamisho wa kazi.
Kwa jinsi nilivyo ona ni kua taarifa zinatoka hivi.
"Rais Samia amemteua Fulani kua mkuu wa mkoa fulani, akichukua nafasi ya fulani aliye hamishiwa mkoa fulani. Awali fulani alikuwa mkuu wa mkoa fulani"
Je, huo ni uteuzi au uhamisho. Maana ukiangalia uteuzi kafanya kwa wachache kama Sendinga ila wengine naona kama uhamisho tu.
Tujuzane kwa hilo.
Hahaahahahahaa umemkomeshaUmejieleza vizuri kuwa sio mtanzania!
Mambo ya Tanzania tuachie wenyewe!
#PILIPILI ISIYOYAKO INAKUWASHIA NINI??
Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Mgomba
Shida ya wachagga ni kupendana bila kiasi.Watasubiri sana, wanachuki sana wale system ilishawajua