Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...


AMETEUA WACHACHE SANA ILA WENGINE KAHAMISHA..AMESHINDWA HATA MUPA URC YULE WAZIRI KAIRUKI
 
Ingekuwa mkeka wa JPM, Wachagga wangelalamika kwamba wanabaguliwa. Ila kwa sababu ni mkeka wa mama SSH inabidi waugulie ndani kwa ndani.
Watasubiri sana, wanachuki sana wale system ilishawajua
 
Umeshawahi kufika Tabora?
Iringa ndiyo inalisha Tabora?
Hizi dharau kwa mikoa mingine mnazitoaga wapi?
Nenda Tamisemi site yao Tabora ni moja wapo ya mikoa maskini sana Tanzania sio maneno yangu hizo ni takwimu za serikali. Iringa, Ruvuma, Rukwa mikoa ya kusini inajulikana katika uzalishaji wa chakula nchi hii.
 
Mkuu wa mkoa anapangiwa vipaumbele kumbe?
 
Naona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!

Ally Hapi nae bado anakumbukwa!

Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Makongoro Nyerere sasa abadilike, akue na ajue hiyo ni Keki yake ya mwisho Mama amempa aile baada ya Kuwaangusha akina Hayati Mkapa, Mzee Kikwete na hata Hayati Magufuli ambao walimbeba kwa kila namna ila akawa habebeki kwa tabia zake za Utoto ( Ujana ) japo sasa ni Mtu mzima.

Nimefurahi kusikia ameteuliwa na kuwa Manyara RC sasa na namtakia Kila Ia Kheri katika hayo Majukumu yake mapya na makubwa ya Kimkoa.
 
Umejieleza vizuri kuwa sio mtanzania!
Mambo ya Tanzania tuachie wenyewe!

#PILIPILI ISIYOYAKO INAKUWASHIA NINI??
 
Uko sahihi kabisa kwa sehemu kubwa mama kafanya uhamisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…