Rais Samia afungua Mkutano Mkuu wa 53 wa Jukwaa la Mabunge ya Nchi za SADC, leo Julai 3, 2023

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano Mkuu wa 53 wa Jukwaa la Mabunge ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) katika ukumbi wa Gran Melia jijini Arusha leo tarehe 3 Julai, 2023.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson wakati akielekea kushiriki na kufungua Mkutano


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Maspika, Naibu Maspika pamoja na wajumbe wa Jukwaa la Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-PF)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali, Maspika, Naibu Maspika pamoja na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 53 wa Jukwaa la Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-PF)


Wajumbe wa Jukwaa la Mabunge ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-PF) wakiwemo Maspika, Naibu Maspika, Wabunge pamoja na viongozi wengine wakiwa kwenye Mkutano
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano Mkuu wa 53 wa Jukwaa la Mabunge ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) katika ukumbi wa Gran Melia jijini Arusha leo tarehe 3 Julai, 2023.

achana na upuuzi huu. Tunataka bandari zetu. These are petty issues at present for Tanganyikans
 
Bandari yetu vipi?
 

Attachments

  • EA031A2B-1E3D-42E1-910D-A5AB33E68FE8.jpeg
    24.4 KB · Views: 3
  • EFB7C04C-C757-40D9-8A24-1A90EA1C5815.jpeg
    40.7 KB · Views: 3
Mwambie Bandari watanganyika wanata tu basi
 
1. Kwa Mujibu wa makubaliano kuhusu uendeshwaji Bandari zetu Kwa kuwatumia DP word, ni madhara Gani Nchi za SADC, EAC Kwa ujumla watayapata?
 
 
achana na upuuzi huu. Tunataka bandari zetu. These are petty issues at present for Tanganyikans
we mbwa hiyo hela uliyopewa itaisha lakini mma yetu ni hampion hakuna mfano. Nyau km nyie hamna impact mnaweza kuleta.
 
Tunataka bandari zetu, achana mavi haya eti anafungu upuuzi
mlaumu mamako kukuzaa mpumbavu kiasi hicho. Huoni hata haya, takataka na washamba km nyie sukuma gang hamtapata tena uongozi wa nchi yetu.
 
we mbwa hiyo hela uliyopewa itaisha lakini mma yetu ni hampion hakuna mfano. Nyau km nyie hamna impact mnaweza kuleta.
Mbwa mama yako...... ujue huyo unayemuita baba yako ni wa kufikia tu, baba yako ni Mimi nilikuzaa na mama yako.
 
Awaeleze kabisa kwamba vipengele vya kuiuza Tanganyika vinarekebishwa lini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…