Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Usipokubali kuwa Rais Samia amechukua nafasi ya hayati JPM....utaendelea kujipa hamaniko tu.....Kwahiyo hapo alipo anaona mambo yako shwari tu?
Huyu bibi vipi
Sasa ukuona kawavimbia ccm kwamba yeye ndiye mgombea pekee na wameufyata, halafu akaondoka akasema wao ndio wameamua, pia waka ufyata.Sasa kwani yeye huyo mwanamke si ni kwa dondokela tu akawa?! Ama lini alikuwa hapo alipo kwa uwezo wake?
Lakini ni kweli alikuwa anaamrishwa na Jakaya na ndiyo maana hata teuzi zake zilikuwa za kijinga sana, ila sasa kabadilika baada ya kuona alikuwa analostishwa na mtu aliyeshindwa kuongoza nchi kwa Maika 10.Rais Samia afunguka ya Moyoni kuhusu kauli za Wahafidhina wa mfumo dume ambao hawakuwa na imani naye wakati anachukua nafasi ya Urais na waliothubutu kusema "Tuna Rais wakuambiwa afanye na mwenye maamuzi ya Kitchen Party" wakati akizungumzia nafasi ya Mwanamke katika Uongozi katika Siasa.
Akishiriki Madhimisho ya Miaka 10 ya Programu ya Mwanamke Kiongozi katika Ukumbi wa The Super Dome Masaki Dar es Salaam, leo tarehe 21 Februari,2025, Samia amesema;
"Hapa nataka kusema ya Moyoni, kwenye wahafidhina wa mfumo dume kwamba wakati ule hakukua na imani kabisa, hakukua na imani au kuamini kwamba yule mwanamke anaweza kufika hapa [hakukua..]"
"Kuna waliothubutu kusema tuna Rais wakuambiwa fanya tu na atafanya. Kuna waliothubutu kusema hatuna Rais tuna House girl. Kuna waliothubutu kusema maamuzi ya Kitchen Party, yale ambayo nilikuwa nafanya"
Soma, Pia: Rais Samia: Nafasi ya Uongozi unayoipata Mwanamke isiwe sababu ya kuharibu familia
Lakini si ni kweli Mama, Kikwete alikuharibu sana na ushauri wake. Utachukuaje ushauri wa kilaza aliyeshindwa kuongoza nchi na jimbo lake?Rais Samia afunguka ya Moyoni kuhusu kauli za Wahafidhina wa mfumo dume ambao hawakuwa na imani naye wakati anachukua nafasi ya Urais na waliothubutu kusema "Tuna Rais wakuambiwa afanye na mwenye maamuzi ya Kitchen Party" wakati akizungumzia nafasi ya Mwanamke katika Uongozi katika Siasa.
Akishiriki Madhimisho ya Miaka 10 ya Programu ya Mwanamke Kiongozi katika Ukumbi wa The Super Dome Masaki Dar es Salaam, leo tarehe 21 Februari,2025, Samia amesema;
"Hapa nataka kusema ya Moyoni, kwenye wahafidhina wa mfumo dume kwamba wakati ule hakukua na imani kabisa, hakukua na imani au kuamini kwamba yule mwanamke anaweza kufika hapa [hakukua..]"
"Kuna waliothubutu kusema tuna Rais wakuambiwa fanya tu na atafanya. Kuna waliothubutu kusema hatuna Rais tuna House girl. Kuna waliothubutu kusema maamuzi ya Kitchen Party, yale ambayo nilikuwa nafanya"
Soma, Pia: Rais Samia: Nafasi ya Uongozi unayoipata Mwanamke isiwe sababu ya kuharibu familia
Tukiwaambieni wanawake awana akili ya uongozi ndiyo mjue kielelezo ni huyu zuzu bushiri yaani anajifanya kuwa ajui kuwa akubaliki na yoyote siku kwa siku zinavyo enda ndiyo anazidi kuonekana mpuuzi....sasa huko kuweza anako zungumzia ni juu ya watu gani ? Labda mafisadi kina rostam azizi tu...hii ni ishara kamili ya kuongozwa na kiongozi kipofu. ..ushahidi upo wazi kuwa akubaliki na wananchi na hata ndani ya ccm akubaliki ndiyo maana kafanya hujuma kwenye iujiteua kuwa mgombea wa ccm....kama nilivyo sema kuwa kuendelea kwa samia kipindi cha pili ndiyo mtashuhudia uchafu wa ajabu sana na damu nyingi atamwaga ...pia mtashuhudia ...kituko kingine kwenye kumpata mtu waxkugombea urais 2030 maana kilicho fanyika majuzi ccm....kitafanywa tena 2030 ... haya yatakuwa funzo kwa,wale wanao mtetea upumbavu wa wanawake kuwa viongozi na wale wapumbavu wanaopiga mfumo dume na wale wapumbavu wanao pinga mfumo jike ...hao ndiyo wale wasio jua mfumo dume na mfumo joke ni nini ? Mfumo dume ni kumfanya mwanamume kuwa mwanamume kwelikweli na kutawala mamlaka zote za umwanaume kikamilifu na mfumo jike ni kumfanya mwanamke kuwa mwanamke kwelikweli na kuketishwa katikq nafasi yake .... siyo huu mfumo jike wa kureplace mfumo dume yaani kumpa mwanamke haki impayayo mwanaume na mwanaume kuoewa haki impasayo mwanamke huu ni MFUMO WA KIANITHI NDIYO DUNIA NA WANAWAKE WAPUMBAVU WANATAKA IWE HIVYO SAWA SAWA NA UPUMBAVU WA AKILI ZAO ...Rais Samia afunguka ya Moyoni kuhusu kauli za Wahafidhina wa mfumo dume ambao hawakuwa na imani naye wakati anachukua nafasi ya Urais na waliothubutu kusema "Tuna Rais wakuambiwa afanye na mwenye maamuzi ya Kitchen Party" wakati akizungumzia nafasi ya Mwanamke katika Uongozi katika Siasa.
Akishiriki Madhimisho ya Miaka 10 ya Programu ya Mwanamke Kiongozi katika Ukumbi wa The Super Dome Masaki Dar es Salaam, leo tarehe 21 Februari,2025, Samia amesema;
"Hapa nataka kusema ya Moyoni, kwenye wahafidhina wa mfumo dume kwamba wakati ule hakukua na imani kabisa, hakukua na imani au kuamini kwamba yule mwanamke anaweza kufika hapa [hakukua..]"
"Kuna waliothubutu kusema tuna Rais wakuambiwa fanya tu na atafanya. Kuna waliothubutu kusema hatuna Rais tuna House girl. Kuna waliothubutu kusema maamuzi ya Kitchen Party, yale ambayo nilikuwa nafanya"
Soma, Pia: Rais Samia: Nafasi ya Uongozi unayoipata Mwanamke isiwe sababu ya kuharibu familia
Usitake yasemwe ya sirini.wewe unaweza hata kuwa balozi? muheshimu mwnamke mpambanaji huyo
We ni sawa na mahawani wa porini, kwa mara nyingine subiri Oktoba 2025.Sasa kwani yeye huyo mwanamke si ni kwa dondokela tu akawa?! Ama lini alikuwa hapo alipo kwa uwezo wake?
Kwenu kila kitu sawa?Anaona kila kitu kipo sawa wanamdangana sana wasaidizi Wake
We mbwa mamako ndiyo bure kabisa ndiyo maana uko hivyo. Huyo ni level nyingine ht miaka 100 ijayo hakuna ktk ukoo wako hakuna atakayekaribia hiyo nafasi yakeHouse girl toka unguja anajiona anajua kupika?! Bureee kabisa.
Huu upupu kawaandikie nyumbu wenzakoMimi nadhani angetangaza nia ya kugombea urais sasa kwa kuruhusu wengine wenye nia ya kugombea urais ndani ya chama chakavu, wachuane kwa hoja kisha wapitie mchakato wa chama uliopo kikatiba! ...kwa vyovyote kwa sifa anazopewa na mabango ya taswira yake nchi nzima, angewashinda wote kabla ya kupambana na Simba Tundu Lissu....
Aachane na mbeleko ya wazee waliojichokea, na wale wenye masilahi binafsi....Akishinda atawafunga midomo wote wanaoitwa mfumo dume na wengine wasiomuona kama anayefaa kuendelea kukalia kiti cha urais. 🤔