Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hamna, amfiche mkewe....Unataka ukajibebishe kwa Prof wa jalalani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna, amfiche mkewe....Unataka ukajibebishe kwa Prof wa jalalani?
Mi mwenyewe nimemshangaa. Yaani akishakuwa na akili ndogo anaona wote ni kama yeye. Yaani Niki ni geneus?unajua elements za kuwa geneus ww jamaa
Mmmh kumbe? Mi sijui 😁Fujo lakini hii! 🤣🤣🤣. Kwamba Kabudi aliwahi kwenda Ufaransa kula raha na ubavu wa Nikki?
Tunachofeli Tanzania ni kufanya uongozi kama sehemu ya majaribio.Nani kama mama? Ukikutana na watu 10, basi 7 Kati yao watakuambia wanampenda sana mama kuliko baba.
Mama Samia kweli amedhmairia kuifikisha Tanzania kwenye nchi ya asali na maziwa, niseme wazi kuwa mimi sijawahi kuamini kiongozi Bora anaweza kutoka nje ya mfumo wa CCM.
Ujio wa mama Samia ni ujumbe kuwa CCM bado Ina hazina ya viongozi wenye maono na wenye uwezo mkubwa Sana
Mama Samia siku ya jana umetufurahisha sana watanzania kwa kumteua the genius NIKKI WA PILI, hakika ni furaha isiyomithirika.
Nikki wa Pili ni genius, ni kijana shupavu, hodari, mpole, mnyenyekevu na mwenye busara ya hali ya juu sana. Waswahili wanasema usiandikie mate wakati wino ungalipo. Muda utasema kuhusu Nikki wa Pili. Namuona mbali sana.
Mama umetutendea vyema sana kumleta Nikki wa Pili.
Kwa wasiomjua huyu kijana nitaeleza kwa ufupi hapa chini.
Nikki alizaliwa na kusomea Arusha, alipomaliza darasa la 7 na matokeo kutoka hakupata bahati ya kuchaguliwa(kipindi kile kufaulu kulikuwa kugumu sana) hivyo Nikki akakaa nyumbani kutokana na familia kutokuwa na uwezo wa kumsomesha shule binafsi. Hivyo akabidi ajatafute kibarua kwenye kuuza duka soko la kilombero mkoani humo.
Baada ya miezi mitatu ikatoka second selection, na hatimaye jina la Nickson Simon likatoka na hivyo kuendelea na masomo shule ya secondary Arusha.
Ilipofika form 4 Nikki akapata Division 1 na kupangiwa kwenda Kigoma Secondary kwa ajili ya masomo ya Advance(A-Level). Mazingira ya kwenda huko hayakuwa mazuri kwa maana ilibidi aungeunge sana ili kufika Kigoma na kuanza masomo.
Na alipomaliza Form 6 akapata Div 1 na kuamua kwenda kujiunga na chuo kikuu Cha Daressalaam (UDSM).
Kipindi yupo UDSM, kaka yake Joh Makini alikuwa taayari msanii mkubwa sana Tanzania akitmaba na ngoma zake kadhaa ikiwemo chochote popote.
Hivyo Joh Makini alihitaji kufanya wimbo mwingine na siku anaenda studio pale Kama kaea records ubungo alikuwa ameongizana na Nikki wa Pili ambae yeye alikuwa anaenda zake mabibo hostel.
Joh akiwa nje anapasha sauti ili aanze kurekodi wimbo maana beat ilikuwa tayari. Ghafla Nikki wa Pili akaomba afanye kama anajaribu kwenye hiyo beat.......the rest is history.
Watu wote studio walikuwa hawaamini wanachokisikia, na baadae wimbo wa "Niaje Nivipi" ulikuwa mkubwa kupita maelezo na kumtambulisha rasmi Nikki wa Pili.
Nikki wa Pili akaamua kuendeleza kutoa nyimbi zingine kama ; Good Boy, Excellent, Feelings, Higher, Kila wakati, Pea, Kiujamaa n.k
Hii story itaendelea.................
AHSANTE SANA MAMA SAMIA KWA ZAWADI HII YA NIKKI WA PILI, MUNGU AKUBARIKI SANA
View attachment 1824414
🤓🤓.....hata mm sijui, wacha nitafiti zaidi nije na findings kamili.Mmmh kumbe? Mi sijui 😁
Una uhakika?Nampendaga sana Niki wa pilli ni mnyenyekevu na mstaarabu.
Mhh simjui kwa undani ila napenda tu personality yake anapenda familia.Una uhakika?
Una mfahamu vizuri?
Anaongea kwa unyenyekevu na ustaarabu lakini kiuhalisia ni mtu mwenye kujisifia sana, maringo ya kitoto, mnafiki na muongo fulani. Kama huamini haya anza kufutilia nyendo zake hata sasa.
Na 4 siyo kweli. Huwezi kuwa mtumishi ukabaki na akili ileile. Labda uwe umeamua kubaki hivyo. Nikki atakuwa wa mkoa soon. Subiri.Kwa hiyo kuwa Genius ndio sababu ya kupewa huu ukuu wa wilaya au kuwa mkuu wa wilaya kunamfanya kuwa yeye ni Genius?
Bado sijaona mantiki ya mleta mada.
Any way, tunampa hongera kwa kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya (maana ni heshima kubwa kuteuliwa na Rais) lakini tunampa haya maangalizo...
1. Mlango alioingilia ndio mlango atakaotokea, huwa uko wazi saa zote.
2. Tabia zake halisi ndio zinaenda kuonekana sasa.
3. Uwezo wake wa kuzitumia akili zake ndio unaenda kupimwa na jamii.
4. Kukubali kuishi kwa ajira ya kuteuliwa ni kukubali kupumbaza uwezo wake wa kiakili kwa sehemu kubwa sana.
Na wewe unataka ukampe game?Nikki wa pili Kama Ni genius Mimi Basi ze supest genius [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona mama zuri Jana night kampa gemu la viwango baba zuri[emoji1]
Kama la wistazchalet au kwa bwana Mia Tisa na Kenda[emoji1]
Kwenye wimbo gani kasema yeye kasoma?Sio kwa chuki ila me sijawahi kuona ugenius wa huyu jamaa zaidi ya kujijaza misifa kwenye nyimbo zake kuwa yy kasoma.
Labda anaonekana kuwa na nafuu kwa kuwa kwenye tasnia aliyopo inaonekana yy ndiye ana elimu kdogo.
Kwa watu waliowahi kukaa nae karibu wanalijua hili. Ni mstaarabu sanaNampendaga sana Niki wa pilli ni mnyenyekevu na mstaarabu.
Kuandika tu hujui, halafu na wewe unataka uwe genius?Mi mwenyewe nimemshangaa. Yaani akishakuwa na akili ndogo anaona wote ni kama yeye. Yaani Niki ni geneus?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mbona hujajaribiwa?Tunachofeli Tanzania ni kufanya uongozi kama sehemu ya majaribio.
Umeandika hii comment kwa uchungu sana, poleKwa hiyo kuwa Genius ndio sababu ya kupewa huu ukuu wa wilaya au kuwa mkuu wa wilaya kunamfanya kuwa yeye ni Genius?
Bado sijaona mantiki ya mleta mada.
Any way, tunampa hongera kwa kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya (maana ni heshima kubwa kuteuliwa na Rais) lakini tunampa haya maangalizo...
1. Mlango alioingilia ndio mlango atakaotokea, huwa uko wazi saa zote.
2. Tabia zake halisi ndio zinaenda kuonekana sasa.
3. Uwezo wake wa kuzitumia akili zake ndio unaenda kupimwa na jamii.
4. Kukubali kuishi kwa ajira ya kuteuliwa ni kukubali kupumbaza uwezo wake wa kiakili kwa sehemu kubwa sana.
Ni wapi Nikki aliwahi kumringia mtu au kujisifia?Una uhakika?
Una mfahamu vizuri?
Anaongea kwa unyenyekevu na ustaarabu lakini kiuhalisia ni mtu mwenye kujisifia sana, maringo ya kitoto, mnafiki na muongo fulani. Kama huamini haya anza kufutilia nyendo zake hata sasa.
Wewe ndio genius?No sio Genius .. ila hongera zake
Hivi unajua kusoma kweli? Wapi nimeandika mimi ni GeniusWewe ndio genius?
U- genius wake ni upi? Kafanya kitu gani special hadi tumuite genius? Mbona ni wa kawaida sana labda kwako ndo unamuona bab kubwaNani kama mama? Ukikutana na watu 10, basi 7 Kati yao watakuambia wanampenda sana mama kuliko baba.
Mama Samia kweli amedhmairia kuifikisha Tanzania kwenye nchi ya asali na maziwa, niseme wazi kuwa mimi sijawahi kuamini kiongozi Bora anaweza kutoka nje ya mfumo wa CCM.
Ujio wa mama Samia ni ujumbe kuwa CCM bado Ina hazina ya viongozi wenye maono na wenye uwezo mkubwa Sana
Mama Samia siku ya jana umetufurahisha sana watanzania kwa kumteua the genius NIKKI WA PILI, hakika ni furaha isiyomithirika.
Nikki wa Pili ni genius, ni kijana shupavu, hodari, mpole, mnyenyekevu na mwenye busara ya hali ya juu sana. Waswahili wanasema usiandikie mate wakati wino ungalipo. Muda utasema kuhusu Nikki wa Pili. Namuona mbali sana.
Mama umetutendea vyema sana kumleta Nikki wa Pili.
Kwa wasiomjua huyu kijana nitaeleza kwa ufupi hapa chini.
Nikki alizaliwa na kusomea Arusha, alipomaliza darasa la 7 na matokeo kutoka hakupata bahati ya kuchaguliwa(kipindi kile kufaulu kulikuwa kugumu sana) hivyo Nikki akakaa nyumbani kutokana na familia kutokuwa na uwezo wa kumsomesha shule binafsi. Hivyo akabidi ajatafute kibarua kwenye kuuza duka soko la kilombero mkoani humo.
Baada ya miezi mitatu ikatoka second selection, na hatimaye jina la Nickson Simon likatoka na hivyo kuendelea na masomo shule ya secondary Arusha.
Ilipofika form 4 Nikki akapata Division 1 na kupangiwa kwenda Kigoma Secondary kwa ajili ya masomo ya Advance(A-Level). Mazingira ya kwenda huko hayakuwa mazuri kwa maana ilibidi aungeunge sana ili kufika Kigoma na kuanza masomo.
Na alipomaliza Form 6 akapata Div 1 na kuamua kwenda kujiunga na chuo kikuu Cha Daressalaam (UDSM).
Kipindi yupo UDSM, kaka yake Joh Makini alikuwa taayari msanii mkubwa sana Tanzania akitmaba na ngoma zake kadhaa ikiwemo chochote popote.
Hivyo Joh Makini alihitaji kufanya wimbo mwingine na siku anaenda studio pale Kama kaea records ubungo alikuwa ameongizana na Nikki wa Pili ambae yeye alikuwa anaenda zake mabibo hostel.
Joh akiwa nje anapasha sauti ili aanze kurekodi wimbo maana beat ilikuwa tayari. Ghafla Nikki wa Pili akaomba afanye kama anajaribu kwenye hiyo beat.......the rest is history.
Watu wote studio walikuwa hawaamini wanachokisikia, na baadae wimbo wa "Niaje Nivipi" ulikuwa mkubwa kupita maelezo na kumtambulisha rasmi Nikki wa Pili.
Nikki wa Pili akaamua kuendeleza kutoa nyimbi zingine kama ; Good Boy, Excellent, Feelings, Higher, Kila wakati, Pea, Kiujamaa n.k
Hii story itaendelea.................
AHSANTE SANA MAMA SAMIA KWA ZAWADI HII YA NIKKI WA PILI, MUNGU AKUBARIKI SANA
View attachment 1824414