Rais Samia ahsante sana, Nikki wa Pili ni uteuzi bora kabisa

kipimo cha ugenius ni kipi?

by the way namsifu kwa ngoma yake sitaki kazi zingine zote upuuzi mtupu
 
Yaaani mkuu wa wilaya na mziki wa kina weusi mziki unalipa zaidi?
 
Sijasoma thread yako ila kifupi tu punguzo shobo.
 
Hamfikii diamond hata kwa robo, sioni jipya Kwake alilofanya, Mond hata kama hana shahada. Lakini ni kijana mchapa Kazi kuriko hawa wa "Udsm"
 
Hamfikii diamond hata kwa robo,sioni jipya Kwake alilofsnya,Mond hata kama hana shahada,Lakini ni kijana mchapa Kazi kuriko hawa wa "Udsm"
Kunywa maji chief, alafu jipige kifuani sema Mimi ni mjinga
 
Kuoata division 1 ni kawaida eeh? Si kila mtu angepata? Wewe mbona ulifeli form 4?
Jipige kifuani alafu sema "Mimi ni mjinga sana"
 
Wameamua kumfuta machozi kwa kuliwa mwandani wake na yule Prof mimacho. Haya dogo umepewa cheo ili ukaushe sasa. Kuchapiwa ni Siri ya ndani. Ukafanye kazi sasa tuone.
 
Stori nzuri ingawaje sijawahi kusikia hata wimbo wake mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…