Rais Samia ahudhuria swala ya Ijumaa

Rais Samia ahudhuria swala ya Ijumaa

Hii mibarakoa sasa aachane nayo tu, mikutano ya wanasiasa kama mama hayupo hawavai barakoa angalia bungeni ila wakionana na mama tu ndio wanavaa kinafki
Watanzania ni Wanafiki kuliko Maelezo tena hasa Viongozi wa Dini kama hawa na Wanasiasa nasikitikaa tu kuwa Umechelewa kulijua hili.
 
Duh kwny hii picha Kuna mlinzi mmoja amevaa viatu vimeisha upande Kama vya wale motivational speakers au wale jamaa wanaosemaga kuna inshu flani nasikilizia.
Mlinzi wa mama kachoka,anashindwa hata na mgambo wa jiji 😂😂😂
 
Ila ipo siku huo utaratibu utakuja kuvunjwa tu,utasikia kwa heshima yake Rais leo tumemruhusu tusali nae pamoja,tena na aya moja haya ya uongo italetwa tu.....
Wacha tusubirie mkuu!
 
Mkuu waislamu si unawajua zinaweza zikatembea bakora.
Wakumbuka baraza la iddy liliyopita,mgeni rasmi ni yeye mama na viongozi wanaume wa bakwata wote waliokaa jukwaa kuu uliangalia walivyokaa.......fikiri na akili yako
 
Wakumbuka baraza la iddy liliyopita,mgeni rasmi ni yeye mama na viongozi wanaume wa bakwata wote waliokaa jukwaa kuu uliangalia walivyokaa.......fikiri na akili yako
Nilidhani msikitini.
 
Back
Top Bottom