GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Watanzania ni Wanafiki kuliko Maelezo tena hasa Viongozi wa Dini kama hawa na Wanasiasa nasikitikaa tu kuwa Umechelewa kulijua hili.Hii mibarakoa sasa aachane nayo tu, mikutano ya wanasiasa kama mama hayupo hawavai barakoa angalia bungeni ila wakionana na mama tu ndio wanavaa kinafki
Hii nayo ni habari sasa?Mama anaupiga mwingi hadi unamwagika aisee
Hapo yupo na mfuti wa Tz jijini dar es Salam
View attachment 2240815
Mlinzi wa mama kachoka,anashindwa hata na mgambo wa jiji ๐๐๐Duh kwny hii picha Kuna mlinzi mmoja amevaa viatu vimeisha upande Kama vya wale motivational speakers au wale jamaa wanaosemaga kuna inshu flani nasikilizia.
Wacha tusubirie mkuu!Ila ipo siku huo utaratibu utakuja kuvunjwa tu,utasikia kwa heshima yake Rais leo tumemruhusu tusali nae pamoja,tena na aya moja haya ya uongo italetwa tu.....
Ni mbinu ya kijasusi mkuu๐Duh kwny hii picha Kuna mlinzi mmoja amevaa viatu vimeisha upande Kama vya wale motivational speakers au wale jamaa wanaosemaga kuna inshu flani nasikilizia.
Mwee dunia nipishe nishuke mieSasa anaupiga mwingi kivipi yani??? Kwenda msikitini ni kuupiga mwingi??? Jamani mungu tunusuru taifa letu tunaangamia kwa unafiki hadi natamani nife tu niyaache haya mapumbavu
Mkuu waislamu si unawajua zinaweza zikatembea bakora.hawa viongozi wetu sio wa kuwaamini,wakiwaonaga viongozi akili zao zinapenda sifa
Nalijua kita_mboo saaaanaWatanzania ni Wanafiki kuliko Maelezo tena hasa Viongozi wa Dini kama hawa na Wanasiasa nasikitikaa tu kuwa Umechelewa kulijua hili.
Wakumbuka baraza la iddy liliyopita,mgeni rasmi ni yeye mama na viongozi wanaume wa bakwata wote waliokaa jukwaa kuu uliangalia walivyokaa.......fikiri na akili yakoMkuu waislamu si unawajua zinaweza zikatembea bakora.
Hii nchi hadi watu angalau asilimia 40 wajitambue inaweza kuchukua miaka 200
Nilidhani msikitini.Wakumbuka baraza la iddy liliyopita,mgeni rasmi ni yeye mama na viongozi wanaume wa bakwata wote waliokaa jukwaa kuu uliangalia walivyokaa.......fikiri na akili yako