Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.
Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.
Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.
Naipongeza ATCL kwa kupanua huduma za safari za ndege zake ndani na nje ya nchi ikiwemo kurejesha safari za Dar es Salaam - Nairobi, Kenya zitakazoanza Novemba 26, 2021. Ni matarajio yangu kuwa tutaendelea kuiunga mkono ATCL ili ikue zaidi na kutimiza matarajio ya Watanzania.
Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.
Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.
Naipongeza ATCL kwa kupanua huduma za safari za ndege zake ndani na nje ya nchi ikiwemo kurejesha safari za Dar es Salaam - Nairobi, Kenya zitakazoanza Novemba 26, 2021. Ni matarajio yangu kuwa tutaendelea kuiunga mkono ATCL ili ikue zaidi na kutimiza matarajio ya Watanzania.