Rais Samia aipongeza ATCL kwa kuchanja mbuga, Kenya sasa ni Tshs 770,000 tu

Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Hizi nauli wanapaswa kuziangalia sana, hii ni almost nauli ya kwenda Dubai, what is this???

Yaani kweli hiyo pesa yote wanaona ndio ya kupongezwa kweli wakati the price is not worthy of competition?

Nchi ya ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…