Rais Samia aipongeza Tabora United kwa kuifunga Yanga bao 3-1

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
,πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Leo nimeamini kuwa Admin wa Mama/ au Mama mwenyewe yupo humu JF 24/7.


Mimi ndio wa kwanza kumpongeza Mama kwa ushindi wa leo.🀣



NB: Mama ashawahi kukiri kuwa anatumia JF.
 
Timu ya taifa ya watoto ipo?
Na mtoto unamwingizaje huko?
 
Kwani Chama kimeipongeza Tabora kwa ushindi huo mnono wa kumshenyenta huyu Uto bao 3 kama Balthazar!!???

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚



Wameshenyentwaaaa!!!!
FIFA haitaki siasa kwenye soka
 
Ooyaaaa wazeeeee Pameanza kuchangamkaa bwanaaa!!!!!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tulisema mama timu zote ni zake na zikienda kucheza mechi za kimataifa kuna hela za goli la mama zitapewa, sio yanga na simba pekee. Mechi ijayo ya yanga wakibamizwa tena hiyo timu nayo ipongezwe kwa kuibamiza yanga mabingwa wa msimu uliopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…