Rais Samia aipongeza Tabora United kwa kuifunga Yanga bao 3-1

Rais Samia aipongeza Tabora United kwa kuifunga Yanga bao 3-1

Tulisema mama timu zote ni zake na zikienda kucheza mechi za kimataifa kuna hela za goli la mama zitapewa, sio yanga na simba pekee. Mechi ijayo ya yanga wakibamizwa tena hiyo timu nayo ipongezwe kwa kuibamiza yanga mabingwa wa msimu uliopita
 
Bwa
Screenshot_20241030-201338_Chrome.jpg
hahaahaah
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameipongeza Tabora United kwa ushindi wao dhidi ya Yanga kwenye Ligi Kuu, akisisitiza kuwa ushindi huo unachangia kuvutia uwekezaji na ajira katika ligi.
View attachment 3146386

Pia, Soma: Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024

Aidha, Rais amehimiza klabu zote kuendelea kutoa burudani kwa Watanzania ndani na nje ya nchi.
View attachment 3146380
Sababu akina Karume ni wàshabiki wa Yanga ndo kaamua kuwàzingua.
 
Haka kaajuza kwa kupenda attention hakajambo. Kanajua wiki nzima.habari ni moja tu ya kufungwa Yanga so kanatia Neno ili na kenyewe kajadiliwe. Mama abdul bwana.

We mlambe miguu Trump huko usitukere wananchi. Mbona Simba ilipodraw na kufungwa na Yanga hajajichekesha?😀😀😀 Mwambie Yanga hatumpendi. Ilisikika sauti siku ya mwananchi.
Mlisema mtafungwa màlaika wakija, sasa makasiriko yote ya nini wàkati malaika wàmekuja?
 
Angekuwa ni yule jamaa kichwa cha habari kingekuwa "Rais awabubujisha machozi wapenzi wa michezo kwa kuipongeza Tabora United "
Nina machungu ya kufungwa
Ila nimecheka [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom