Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaetoa vibari vya sukari si serikali mwenyewe?!! Waziri wa viwanea na biashara si yupo?!! Kwa ufupi serikali ndio inawapora WatanzaniaSukari inafanyiwa hujuma na serikali ipo? aisee.....
Hazina Kuna mchumi nambari Wani ccm oyeeeKwa huu mgao wa umeme, bei ya sukari, vifaa vya ujenzi na nauli uchaguzi ujao Nyamagana niko tayari kuchagua jiwe kama upinzani hawataweka wagombea.
Taasisi Huwa inaomba kura? Taasisi inaundwa na rais kama kajaza au kajaziwa mijizi utailaumu taasisiRais ni mtu au taasisi?