Rais Samia akemea fujo na vurugu za vyama vya kisiasa

Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,pole mjane
 
Et unajua 7bu ya kifo cha Aquilina!!!unajifanya una akili sana kumbe mweupe tu
 
Qumermeyoor.
 
Katika mambo ninayo mlaumu Mwalimu Nyerere Mpaka Leo ni;Kutuletea CCM ambayo mfumo wake kandamizi umegeuka kuwa ukoloni .Kitu kingine ni kutuingiza kwenye vita iliyokuwa hatuhusu ya Uganda,kisa tu kumrudisha madarakani rafiki yake Obote aliyepinduliwa na Amini.Toka vita ya uganda Uchumi wa Tanzania umepita kwenye wakati mgumu sana.
Vita yenyewe haikuwa na tija sababu Obote mwenyewe hakubaki madarakani,alipinduliwa tena baada ya muda mfupi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…