Rais Samia akemea suala la siri za Serikali kuvuja mitandaoni

Rais Samia akemea suala la siri za Serikali kuvuja mitandaoni

Siri zibaki jeshini huko kwenye mbinu za kivita sio kwenye kodi zetu.

Kukiwa na ubishi jinsi kodizetu zinavyotumika mambo ya wekwe wazi tujue nani wakumuwajibisha kwenye sanduku la kura.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Mawaziri na manaibu Waziri wahakikishe siri za serikali hazivuji kufika katika mitandao ya kijamii kama ambavyo imeendelea kuwa

Nukuu
''Imekuwa kama maradhi, document za Serikali tunazikuta mitandaoni, watu wanabishana huko mtu anaende kuchomoa document inapigwa picha inawekwa kwenye mtandao, kama mnabisha ushahidi ni huo, hii haipendezi na hakuna serikali inaendeshwa hivyo.

Serikali inatoka kwenye ofisi zetu inaingia kwenye mitandao, kudhibiti siri za Serikali, ziwe za siri 'classified' hata zile ambazo haziko 'classified', tunatakiwa mambo ya Serikali yaishie ndani ya serikali.''



Ameyasema hayo katika mazungumzo aliyofanya na mawaziri na manaibu Waziri aliwateua na kuwaapisha hivi karibuni

Pia Rais amewataka waende kuwa wasimamizi wazuri wa miradi ya serikali kwa kuwa serikali ipo kwa ajili ya watu
Kuvujisha siri zinaua Taifa ni Ushujaa , Natoa wito kwa wazalendo wote wakiwemo mawaziri , manaibu , makatibu wakuu , tiss na wote mnaoshika hizo nyaraka zao za hovyo zifichueni na Mungu atawabariki sana , Amina
 
Hivi Siri za serikali Ni zipi?. Kuficha maovu au mabaya?. Kwanini mwananchi ambaye ni mwaajiri anafichwa Mambo?. Lazima kuwepo na uwazi wa Nini Ni Siri za serikali na zipi sio.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Mawaziri na manaibu Waziri wahakikishe siri za serikali hazivuji kufika katika mitandao ya kijamii kama ambavyo imeendelea kuwa

Nukuu
''Imekuwa kama maradhi, document za Serikali tunazikuta mitandaoni, watu wanabishana huko mtu anaende kuchomoa document inapigwa picha inawekwa kwenye mtandao, kama mnabisha ushahidi ni huo, hii haipendezi na hakuna serikali inaendeshwa hivyo.

Serikali inatoka kwenye ofisi zetu inaingia kwenye mitandao, kudhibiti siri za Serikali, ziwe za siri 'classified' hata zile ambazo haziko 'classified', tunatakiwa mambo ya Serikali yaishie ndani ya serikali.''



Ameyasema hayo katika mazungumzo aliyofanya na mawaziri na manaibu Waziri aliwateua na kuwaapisha hivi karibuni

Pia Rais amewataka waende kuwa wasimamizi wazuri wa miradi ya serikali kwa kuwa serikali ipo kwa ajili ya watu

Serikali inaogopa sana mitandao kama mwiba
 
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Mawaziri na manaibu Waziri wahakikishe siri za serikali hazivuji kufika katika mitandao ya kijamii kama ambavyo imeendelea kuwa

Nukuu
''Imekuwa kama maradhi, document za Serikali tunazikuta mitandaoni, watu wanabishana huko mtu anaende kuchomoa document inapigwa picha inawekwa kwenye mtandao, kama mnabisha ushahidi ni huo, hii haipendezi na hakuna serikali inaendeshwa hivyo.

Serikali inatoka kwenye ofisi zetu inaingia kwenye mitandao, kudhibiti siri za Serikali, ziwe za siri 'classified' hata zile ambazo haziko 'classified', tunatakiwa mambo ya Serikali yaishie ndani ya serikali.''



Ameyasema hayo katika mazungumzo aliyofanya na mawaziri na manaibu Waziri aliwateua na kuwaapisha hivi karibuni

Pia Rais amewataka waende kuwa wasimamizi wazuri wa miradi ya serikali kwa kuwa serikali ipo kwa ajili ya watu
Mama mwenyewe anapenda habari za mitandaoni balaa., Juzi si amefumza yale majibizano ya simu ya Lukuvi na genge lake kutaka kugombea Uspika.,

Na yale majibizano ya kakaake Lukuvi na genge lake kwanza yalitua hapa JF naamini mama yupo hapa JF saa zote ana brows.,
 
Siri za serikali au siri zako binafsi? Kama unavyowatoa watu wako "hapo" kuwapeleka "kule" ili wakalinde maslahi yako "kule" ni siri za serikali au siri zako binafsi mkuu wetu?
 
Siri zipi zilizovuja, huku yote ni ya kawaida tu

Itakuwa ile barua ya jobo kujiuzulu ndo anaongelea!!! Alafu sijui kwann anataka iwe ni Siri wakati sisi wanchi ndo maboss zao.... lazima watupe mirejesho ya kila jambo au ndo anataka kupiga mnada kama bwana yule alivyosema? Na anataka iwe siri
 
Back
Top Bottom