greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Karma is a bitch, yeye si alikuwa anavujisha siri za mwendazake kwa kigogo wacha nayeye aone machungu ya kuvurugiwa mipango.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa wewe umeongea, maana anatulazimisha wote tuwe wapiga kelele wa mitandaoni.Afungulie xvideos,watu tuwe busy huko
Kuvujisha siri zinaua Taifa ni Ushujaa , Natoa wito kwa wazalendo wote wakiwemo mawaziri , manaibu , makatibu wakuu , tiss na wote mnaoshika hizo nyaraka zao za hovyo zifichueni na Mungu atawabariki sana , AminaRais Samia Suluhu Hassan amewataka Mawaziri na manaibu Waziri wahakikishe siri za serikali hazivuji kufika katika mitandao ya kijamii kama ambavyo imeendelea kuwa
Nukuu
''Imekuwa kama maradhi, document za Serikali tunazikuta mitandaoni, watu wanabishana huko mtu anaende kuchomoa document inapigwa picha inawekwa kwenye mtandao, kama mnabisha ushahidi ni huo, hii haipendezi na hakuna serikali inaendeshwa hivyo.
Serikali inatoka kwenye ofisi zetu inaingia kwenye mitandao, kudhibiti siri za Serikali, ziwe za siri 'classified' hata zile ambazo haziko 'classified', tunatakiwa mambo ya Serikali yaishie ndani ya serikali.''
Ameyasema hayo katika mazungumzo aliyofanya na mawaziri na manaibu Waziri aliwateua na kuwaapisha hivi karibuni
Pia Rais amewataka waende kuwa wasimamizi wazuri wa miradi ya serikali kwa kuwa serikali ipo kwa ajili ya watu
Labda kwamba deni la serikali ya ccm limefikia trilioni 82 ndo hataki tujue, au kwamba Zanzibar inapata asilimia kubwa ya kiasi cha mikopo ambayo hawatashiriki kulipa marejeshoSiri zipi zilizovuja, huku yote ni ya kawaida tu
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Mawaziri na manaibu Waziri wahakikishe siri za serikali hazivuji kufika katika mitandao ya kijamii kama ambavyo imeendelea kuwa
Nukuu
''Imekuwa kama maradhi, document za Serikali tunazikuta mitandaoni, watu wanabishana huko mtu anaende kuchomoa document inapigwa picha inawekwa kwenye mtandao, kama mnabisha ushahidi ni huo, hii haipendezi na hakuna serikali inaendeshwa hivyo.
Serikali inatoka kwenye ofisi zetu inaingia kwenye mitandao, kudhibiti siri za Serikali, ziwe za siri 'classified' hata zile ambazo haziko 'classified', tunatakiwa mambo ya Serikali yaishie ndani ya serikali.''
Ameyasema hayo katika mazungumzo aliyofanya na mawaziri na manaibu Waziri aliwateua na kuwaapisha hivi karibuni
Pia Rais amewataka waende kuwa wasimamizi wazuri wa miradi ya serikali kwa kuwa serikali ipo kwa ajili ya watu
Mama mwenyewe anapenda habari za mitandaoni balaa., Juzi si amefumza yale majibizano ya simu ya Lukuvi na genge lake kutaka kugombea Uspika.,Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Mawaziri na manaibu Waziri wahakikishe siri za serikali hazivuji kufika katika mitandao ya kijamii kama ambavyo imeendelea kuwa
Nukuu
''Imekuwa kama maradhi, document za Serikali tunazikuta mitandaoni, watu wanabishana huko mtu anaende kuchomoa document inapigwa picha inawekwa kwenye mtandao, kama mnabisha ushahidi ni huo, hii haipendezi na hakuna serikali inaendeshwa hivyo.
Serikali inatoka kwenye ofisi zetu inaingia kwenye mitandao, kudhibiti siri za Serikali, ziwe za siri 'classified' hata zile ambazo haziko 'classified', tunatakiwa mambo ya Serikali yaishie ndani ya serikali.''
Ameyasema hayo katika mazungumzo aliyofanya na mawaziri na manaibu Waziri aliwateua na kuwaapisha hivi karibuni
Pia Rais amewataka waende kuwa wasimamizi wazuri wa miradi ya serikali kwa kuwa serikali ipo kwa ajili ya watu
CC kigogo kwann umeandika hivyoEvery reaction has an equal and opposite reaction
CC; Kigogo
Siri ni nini, kwa nini ni siri, na ni sir kwa nani?Siri zipi zilizovuja, huku yote ni ya kawaida tu
Siri zipi zilizovuja, huku yote ni ya kawaida tu
I'm flooded😊😊😊😊😊Siri za serikali au siri zako binafsi? Kama unavyowatoa watu wako "hapo" kuwapeleka "kule" ili wakalinde maslahi yako "kule" ni siri za serikali au siri zako binafsi mkuu wetu
Niache bwana we fanya unitumie Bank details. 😊I'm flooded😊😊😊😊😊
Hayo ndo maneno chacha😍😍😍😍Niache bwana we fanya unitumie Bank details. 😊
Ameshaanza kuona athari za kuvujishaKarma is a bitch, yeye si alikuwa anavujisha siri za mwendazake kwa kigogo wacha nayeye aone machungu ya kuvurugiwa mipango.
Naendelea kutafari lakini, usifurahie bado mapema sana. 😀Hayo ndo maneno chacha😍😍😍😍
Ha ha ha ha ha, wakati unatafakari omba mimi nami nisitafakari😀😀.Naendelea kutafari lakini, usifurahie bado mapema sana. 😀