Rais Samia akipata chai na vitumbua katika Ikulu ndogo Tanga, kabla ya ziara kuelekea Muheza na Mkinga

Rais Samia akipata chai na vitumbua katika Ikulu ndogo Tanga, kabla ya ziara kuelekea Muheza na Mkinga

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wakuu

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa anaendelea na ziara yake mkoani Tanga. Asubuhi ya leo Alhamisi, Februari 27, 2025 ameandika katika kurasa zake za kijamii:

“Chai na vitumbua asubuhi katika Ikulu ndogo Tanga, kabla ya kuanza kazi kuelekea Muheza na kisha Mkinga kuzungumza na wananchi kuhusu kazi, na namna zaidi ya Shilingi trilioni 3.1 trilioni toka serikalini kuja Mkoa wa Tanga zilivyobadili maisha yao kupitia miradi mbalimbali katika kipindi cha miaka minne.
Screenshot 2025-02-27 123850.png
 
@samia_suluhu_hassan: Chai na vitumbua asubuhi katika Ikulu Ndogo Tanga, kabla ya kuanza kazi kuelekea Muheza na kisha Mkinga kuzungumza na wananchi na kuhusu kazi, na namna zaidi ya Shilingi Trilioni 3.1 toka serikalini kuja Mkoa wa Tanga zilivyobadili maisha yao kupitia miradi mbalimbali katika kipindi cha miaka minne.
Kunywa tu mkuu. Nakuunga mkono.

Kama samia na yeye huwa anakunywa chai na kitumbua,nani mwingine apinge ?
 
Wakuu

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa anaendelea na ziara yake mkoani Tanga. Asubuhi ya leo Alhamisi, Februari 27, 2025 ameandika katika kurasa zake za kijamii:

“Chai na vitumbua asubuhi katika Ikulu ndogo Tanga, kabla ya kuanza kazi kuelekea Muheza na kisha Mkinga kuzungumza na wananchi kuhusu kazi, na namna zaidi ya Shilingi trilioni 3.1 trilioni toka serikalini kuja Mkoa wa Tanga zilivyobadili maisha yao kupitia miradi mbalimbali katika kipindi cha miaka minne.
Screenshot 2025-02-27 123850.png
 
Back
Top Bottom