Rais Samia akishiriki mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi na serikali wa SADC nchini Zimbabwe

Rais Samia akishiriki mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi na serikali wa SADC nchini Zimbabwe

Mbona mwenyekiti anaongea kama amechoka sana!
 
Kagame ana upuuzi mwingi kama Idd Amin Dada
Na hamuwezi kumfanya chochote,mjichanganye muingie kwenye 18 zake,hapo surprise ya ajabu tutaipata, historia ya mipaka ya kikoloni itabadilika na kuchorwa upya,new era of Tanganyika map,naomba nchi yangu na vyombo vya usalama visiingie kichwa kichwa kwenye huu mgogoro
 
Na hamuwezi kumfanya chochote,mjichanganye muingie kwenye 18 zake,hapo surprise ya ajabu tutaipata, historia ya mipaka ya kikoloni itabadilika na kuchorwa upya,new era of Tanganyika map,naomba nchi yangu na vyombo vya usalama visiingie kichwa kichwa kwenye huu mgogoro
Ukiangalia vizuri hapa unaona Rwanda na Burundi zilitakiwa ziwe sehemu ya Tanzania ila basi tu Nyerere sijui alichelewa nini kuwatumbukiza ndani hawa watu
Screenshot_20250131_175653.jpg
 
Na hamuwezi kumfanya chochote,mjichanganye muingie kwenye 18 zake,hapo surprise ya ajabu tutaipata, historia ya mipaka ya kikoloni itabadilika na kuchorwa upya,new era of Tanganyika map,naomba nchi yangu na vyombo vya usalama visiingie kichwa kichwa kwenye huu mgogoro
Hana anachoweza kutufanya, ni huruma tu na kutokutaka kushadadia ya watu
 
Na hamuwezi kumfanya chochote,mjichanganye muingie kwenye 18 zake,hapo surprise ya ajabu tutaipata, historia ya mipaka ya kikoloni itabadilika na kuchorwa upya,new era of Tanganyika map,naomba nchi yangu na vyombo vya usalama visiingie kichwa kichwa kwenye huu mgogoro
Mzee tulia
 
Talking about attending a meeting you have zero knowledge of
 
Back
Top Bottom