Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akishiriki Mkutanon wa Dharura wa wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC Harare Nchini Zimbabwe, leo tarehe 31 Januari, 2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hamuwezi kumfanya chochote,mjichanganye muingie kwenye 18 zake,hapo surprise ya ajabu tutaipata, historia ya mipaka ya kikoloni itabadilika na kuchorwa upya,new era of Tanganyika map,naomba nchi yangu na vyombo vya usalama visiingie kichwa kichwa kwenye huu mgogoroKagame ana upuuzi mwingi kama Idd Amin Dada
Kwanini Israel yenye ardhi sawa na dar e salaam,inasumbua ukanda wote wa mashariki ya Kati??Yaani watu wazima na akili zao eti wanasumbuliwa na kanchi kadogo tu kenye hadhi ya Mkoa mmoja wa Tanzania!
Ukiangalia vizuri hapa unaona Rwanda na Burundi zilitakiwa ziwe sehemu ya Tanzania ila basi tu Nyerere sijui alichelewa nini kuwatumbukiza ndani hawa watuNa hamuwezi kumfanya chochote,mjichanganye muingie kwenye 18 zake,hapo surprise ya ajabu tutaipata, historia ya mipaka ya kikoloni itabadilika na kuchorwa upya,new era of Tanganyika map,naomba nchi yangu na vyombo vya usalama visiingie kichwa kichwa kwenye huu mgogoro
Kwanini Israel yenye ardhi sawa na dar e salaam,inasumbua ukanda wote wa mashariki ya Kati??Yaani watu wazima na akili zao eti wanasumbuliwa na kanchi kadogo tu kenye hadhi ya Mkoa mmoja wa Tanzania!
Hana anachoweza kutufanya, ni huruma tu na kutokutaka kushadadia ya watuNa hamuwezi kumfanya chochote,mjichanganye muingie kwenye 18 zake,hapo surprise ya ajabu tutaipata, historia ya mipaka ya kikoloni itabadilika na kuchorwa upya,new era of Tanganyika map,naomba nchi yangu na vyombo vya usalama visiingie kichwa kichwa kwenye huu mgogoro
Mzee tuliaNa hamuwezi kumfanya chochote,mjichanganye muingie kwenye 18 zake,hapo surprise ya ajabu tutaipata, historia ya mipaka ya kikoloni itabadilika na kuchorwa upya,new era of Tanganyika map,naomba nchi yangu na vyombo vya usalama visiingie kichwa kichwa kwenye huu mgogoro
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akishiriki Mkutanon wa Dharura wa wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC Harare Nchini Zimbabwe, leo tarehe 31 Januari, 2025
Hii mipaka ya Tanganyika aliformulate baba wa Taifa??Ukiangalia vizuri hapa unaona Rwanda na Burundi zilitakiwa ziwe sehemu ya Tanzania ila basi tu Nyerere sijui alichelewa nini kuwatumbukiza ndani hawa watuView attachment 3220000
MwingerezaHii mipaka ya Tanganyika aliformulate baba wa Taifa??
Kuna ramani itafute uione vizuri inaonyesha vizuriHii mipaka ya Tanganyika aliformulate baba wa Taifa??
Wangapi?Kagame anawapeleka puta
Ilikuwa ni ngumu kwa mwalimu,kuzifanya Rwanda na Burundi kuwa sehemu ya Tanzania,Kama alivyoshindwa kumshawishi Jomo kenyata kuformulate muungano wa Tanganyika na kenyaMwingereza