Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Rwanda na Burundi ni sehemu ya Tanganyika ukicheck huo mchoro vizuri yaan Nyerere angecheza vizuri tu sasa hivi Tolu angekua mchunga ng'ombeIlikuwa ni ngumu kwa mwalimu,kuzifanya Rwanda na Burundi kuwa sehemu ya Tanzania,Kama alivyoshindwa kumshawishi Jomo kenyata kuformulate muungano wa Tanganyika na kenya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akishiriki Mkutanon wa Dharura wa wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC Harare Nchini Zimbabwe, leo tarehe 31 Januari, 2025
Sawa sawa shughuli hio haiwahusu wasije wakafa kibwegeMatatizo ya Congo niya muda mrefu na yana maslahi makubwa kwa nchi za magharibi ambazo ndizo zinampa PK kiburi. Ushauri wangu wangu ni kuwa wanajeshi wetu waendelee ku- moonlight (kuchill) wasijipeleke front. Vita hii haina tija kwetu.
SADC yoteWangapi?
Wanapoteza Muda Waliokutana Hawana Maamuzi YoyoteHicho kitu cha dharura walichoenda kuongelea ni nini..?
Hujui Tu Mkuu, Kilichotokea Kwa Mzilankende Tunajitahidi Sana Kuchukua Tahadhali Zote, Popote
Lugha na desturi za kibelgiji tofauti na za waingereza isingwezekana kuungana naoIlikuwa ni ngumu kwa mwalimu,kuzifanya Rwanda na Burundi kuwa sehemu ya Tanzania,Kama alivyoshindwa kumshawishi Jomo kenyata kuformulate muungano wa Tanganyika na kenya
Kwenye jehi la wakongo wenyewe wanauza intel kwa adui. Ukiingia unapigwa ambush hapa inahitajika akili kubwaMatatizo ya Congo niya muda mrefu na yana maslahi makubwa kwa nchi za magharibi ambazo ndizo zinampa PK kiburi. Ushauri wangu wangu ni kuwa wanajeshi wetu waendelee ku- moonlight (kuchill) wasijipeleke front. Vita hii haina tija kwetu.
Rwanda haisumbui nchi yeyote.Yaani watu wazima na akili zao eti wanasumbuliwa na kanchi kadogo tu kenye hadhi ya Mkoa mmoja wa Tanzania!
Kumbe wewe ni mdingi eeh..lolNilikuwa Diamond Jubilee 1978 yalipofikiwa maamuzi ya kumtandika Nduli Iddi Amin Dada aliyesaidiwa na Gaddafi na yule Arafat
Samia ametembea na maji ya Dew Drop kutoka Tanzania?
Kitambo sana 😀Kumbe wewe ni mdingi eeh..lol
Kumbuka Rwanda Wana majeshi yao msumbiji, mnaweza kupeleka majeshi Goma halafu wao wakaibukia mtwara, au wakampa silaha Ali mbabe kufanya yakeUN walitoa maoni kuwa kuna hatari vita ya DRC ikawa vita vya kikanda.
Naona inakwenda kutokea.