Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Ndo kitakuwa kisingizio cha matumaini hicho subiri uone, ikifika 2024 wanazalisha kidogo kuvutia cha kupigia debe uchaguzi,, then giza kama kawa haya mapaka sio ya kuaminiMkuu! Tunajaza Maji katika Bwawa kwanza, kila kitu kitakaa sawa.