Rais Samia akishuhudia utiaji saini wa makubaliano ya awali ya mkataba wa kuchakata gesi asilia Juni 11, 2022

Rais Samia akishuhudia utiaji saini wa makubaliano ya awali ya mkataba wa kuchakata gesi asilia Juni 11, 2022

Rais Samia Suluhu Hassan akishuhudia utiaji saini wa makubaliano ya awali ya mkataba wa kuchakata gesi asilia Juni 11, 2022


Hamna la maana maana mzee wa msonga aliacha ameuza gesi yote kwa wawekezaji naye akapewa chake mapema na kuwekeza gsm na lake oil
 
Mkataba wa nchi hodhi, Mnataka ku monopolise? Vp huko Ntwara wajiandae na ya Ngorongoro au
 
Swali ni lini wananchi watanufaika na utiliaji saini huu??

Maana mpaka sasa atakua ametia saini mikataba sio chini ya 50 na hatujaona wananchi wakinufaika.

Nimeuliza mpaka na majirani zangu hapa wote wanasema hivyo hivyo.

Serikali ina mkakati gani kuhakikisha kwamba kinachosainiwa kinatokea kweli na sio viini macho tu.
 
Nchi za Africa shida tupu.mikataba imeanza kusainiwa kianzia miaka ya 1800 lakini hadi Leo Hamna cha maana zaidi ya kunufaika mafisadi na wawekezaji uchwara tunaoaminishwa kama wawekezaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali ni lini wananchi watanufaika na utiliaji saini huu??

Maana mpaka sasa atakua ametia saini mikataba sio chini ya 50 na hatujaona wananchi wakinufaika.

Nimeuliza mpaka na majirani zangu hapa wote wanasema hivyo hivyo.

Serikali ina mkakati gani kuhakikisha kwamba kinachosainiwa kinatokea kweli na sio viini macho tu.
wazanzibar walikataa gesi kuwa swala la muungano ila watanganyika wamekaa kimya wazanzibar wanapotia sahihi mikataba ya gesi ya Tanganyika
 
Back
Top Bottom