Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mungu GaniHiki kikikamilika tena wale misukule wanasema ni mungu wao kajenga
Unataka miradi ya awamu ya 5 isiendelezweMuendelezo wa miradi ya awamu ya tano chini ya Dr. Magufuli.
Bajeti ya ujenzi ni kiasi gani? Fedha zitokanazo na vyanzo vya ndani zimetengwa kiasi gani?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa Kiwanja Cha Ndege Cha Kimataifa - Msalato, Dodoma leo tarehe 30 Oktoba, 2022
Tunasikitika tu kuwa mwenye nchi angekuwepo kingeanza kufanya kazi saa hizi.Hiki kikikamilika tena wale misukule wanasema ni mungu wao kajenga
Mwenye nchi ni nani hivi?Tunasikitika tu kuwa mwenye nchi angekuwepo kingeanza kufanya kazi saa hizi.View attachment 2402261
Aliyekuwa anaijenga.Mwenye nchi ni nani hivi?
Sasa mbona kila mwananchi kaijengaAliyekuwa anaijenga.
Kweli mtaalam๐๐๐๐๐Msalato is too close to the city center. Kilitakiwa kijengwe at least beyond Makutupora angalau. It's location is going to cause problems soon very soon.
Msije sema hatukushauri. Yale yale ya yard ya mwendokasi Jangwani!