Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,amekutana na kusalimiana na Mama Mzazi wa Mama Janeth Magufuli Mkoani Mwanza Wilayani Misungwi.
Ambapo Mama Mzazi huyo wa Mama Janeth Magufuli ameonekana kuwa mwenye furaha,tabasamu na bashasha kubwa sana katika uso wake.imeonyesha hajaamini kuonana ana kwa ana na mtu mwenye nafasi ya juu na Raia namba moja ,ambaye ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na kiongozi mkuu wa serikali.
Tukio hilo limewezekana kwa Mama huyu kuonana na Mheshimiwa Rais licha ya ratiba yake ngumu na kutingwa na kazi kwa sababu tu ya unyenyekevu,ukarimu na upendo mkubwa sana alio nao Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa.Ambapo amekuwa akifikika kwa Urais na watu wa matabaka yote na kuwafanya watu wajiskie fahari na kumuona ni Rais wa watanzania wote.
Mama yetu Mpendwa hana Makuu,hana kiburi wala dharau wala kujikweza wala kujiweka mbali na watu. Ni Mama na kiongozi aliyejitoa na kujitolea kwa ajili ya kuwatumikia watanzania.ni mama na kiongozi ambaye Maisha yake yanaendelea kuleta tabasamu , matumaini na nuru kwenye maisha ya wengi.
Licha ya cheo chake na madaraka yake makubwa lakini unamuona akichangamana na watu,akipanga foleni kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura hapo baadaye , akisalimiana na wananchi wa kawaida kabisa . Kwake uongozi ni utumishi kwa watu na ndio maana anawatumikia watu wote bila ubaguzi wa aina yoyote ile na kuwa karibu nao.
Hii ndio sababu ameendelea kupendwa , kukubalika na kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania. na kulakiwa na maelfu ya wananchi kila anapofanya ziara au kupita tu.watu wanatamani kutandika kanga na vitenge mabarabarani kama Sehemu ya heshima kwa Mheshimiwa Rais. Mama yetu Mpendwa Daktari Samia ni mtu wa watu mwenye kumgusa kila mtu mwenye kuhitaji mkono wake
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,amekutana na kusalimiana na Mama Mzazi wa Mama Janeth Magufuli Mkoani Mwanza Wilayani Misungwi.
Ambapo Mama Mzazi huyo wa Mama Janeth Magufuli ameonekana kuwa mwenye furaha,tabasamu na bashasha kubwa sana katika uso wake.imeonyesha hajaamini kuonana ana kwa ana na mtu mwenye nafasi ya juu na Raia namba moja ,ambaye ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na kiongozi mkuu wa serikali.
Tukio hilo limewezekana kwa Mama huyu kuonana na Mheshimiwa Rais licha ya ratiba yake ngumu na kutingwa na kazi kwa sababu tu ya unyenyekevu,ukarimu na upendo mkubwa sana alio nao Mheshimiwa Rais wetu Mpendwa.Ambapo amekuwa akifikika kwa Urais na watu wa matabaka yote na kuwafanya watu wajiskie fahari na kumuona ni Rais wa watanzania wote.
Mama yetu Mpendwa hana Makuu,hana kiburi wala dharau wala kujikweza wala kujiweka mbali na watu. Ni Mama na kiongozi aliyejitoa na kujitolea kwa ajili ya kuwatumikia watanzania.ni mama na kiongozi ambaye Maisha yake yanaendelea kuleta tabasamu , matumaini na nuru kwenye maisha ya wengi.
Licha ya cheo chake na madaraka yake makubwa lakini unamuona akichangamana na watu,akipanga foleni kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura hapo baadaye , akisalimiana na wananchi wa kawaida kabisa . Kwake uongozi ni utumishi kwa watu na ndio maana anawatumikia watu wote bila ubaguzi wa aina yoyote ile na kuwa karibu nao.
Hii ndio sababu ameendelea kupendwa , kukubalika na kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania. na kulakiwa na maelfu ya wananchi kila anapofanya ziara au kupita tu.watu wanatamani kutandika kanga na vitenge mabarabarani kama Sehemu ya heshima kwa Mheshimiwa Rais. Mama yetu Mpendwa Daktari Samia ni mtu wa watu mwenye kumgusa kila mtu mwenye kuhitaji mkono wake
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.