OkNaona siku izi mbili tatu katulia Dodoma makao makuu, wenda ameamua Sasa kukaa DODOMA rasmi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkNaona siku izi mbili tatu katulia Dodoma makao makuu, wenda ameamua Sasa kukaa DODOMA rasmi
Hapa ndipo hekima ya kiongozi inapopimwa. Mamlaka yanahitaji busara katika kuyatumikia.kukuza uchumi wakati taifa limeparanyika ni kazi kubwa mno, wengine wamo magelezani kesi za kisiasa, wengine uchaguzi hawataki tena, wengine wanataka katiba mpya, wengine urais 2025 wanauchungulia, wengine hawataki kuchanjwa, wengine wanahubiri wenzao kwamba chanjo si salama, wengine tozo juu - yaani taabu tupu.
Mkuu acha udikteta....Hivi wewe ni mwanamke au mwanaume? Jina linaakisi mwanaume ila tabia zako ni za kike. Ufafanuzi please!
Change in FormationTLS si waliweka msimamo kumtetea GAIDI? kwa vile TLS hawajanyambuka wanatakiwa kunyambulika ili dunia ijue TZ kuna GAIDI
Anajichanganya. Nchi ilikuwa imetangamaa baada ya kifo cha Yule Mwovu Shetani Magufuli.Mama anapata shida sana kuendesha nchi
Alidhani akiletea watu fujo na kuwafunga basi atapata peace of mind
Kumbe ni very far from it
Ajifunze kutumia akili yake binafsi.....
Atakoma
Na Hoseah,hivi who believe this government agent?
Nchi imetulia kabisa, wanaoona nchi haijatulia ni misukule ya Gaidi ambao wamejaa mitandaoni. Ushahidi ni wale watu 10 waliojitokeza mahakamani kwa Gaidi.Anajichanganya. Nchi ilikuwa imetangamaa baada ya kifo cha Yule Mwovu Shetani Magufuli.
Naona huo mstari umewagusa sana baadhi yenu, ikiwa na maana kwamba uzito wa mada yote mmeuweka kwenye ukweli huo alioweka mleta mada.Hii My take yako imekaa Kipuuzi hadi Kinafiki pia na imekuanika Kwetu kuwa Wewe ni Mtu wa Chuki, Husuda na Kisununu kwa Rais Samia, Serikali yake na Chama Tawala chake cha CCM.
Gaidi ndiye alikutatua marindaTLS si waliweka msimamo kumtetea GAIDI? kwa vile TLS hawajanyambuka wanatakiwa kunyambulika ili dunia ijue TZ kuna GAIDI
Imepenya sawasawaGaidi ndiye alikutatua marinda
Ni visiting professor chuo cha iringaHosea ni Associate Professor wa Iringa University.
Ni lini ww mwenyewe ama ni nani aliwahi kulalamika kwako kwamba alienda ikulu Dodoma (ofisi ya Rais) akihitaji kuhudumiwa akakosa kuhudumiwa kwa sababu za Rais kuwa anaishi ama anakaa tofauti na Dodoma? Ama ni wapi Rais alishindwa kuyatekeleza majukumu yake ya Urais kwa sababu hakuwepo Dodoma?Naona siku izi mbili tatu katulia Dodoma makao makuu, wenda ameamua Sasa kukaa DODOMA rasmi
Magufuli mfate kama unampenda sana yuko kuzimu amebaki mafuvu tu fala yule.Nchi imetulia kabisa, wanaoona nchi haijatulia ni misukule ya Gaidi ambao wamejaa mitandaoni. Ushahidi ni wale watu 10 waliojitokeza mahakamani kwa Gaidi.
Tunaomba updates ya kilichozungunzwa. Maana hawakuishia kusalimiana.Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akutana na kuzungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Profesa Edward Hoseah na Mwenyekiti wa Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania (TAWJA) Jaji Joaquine De-Mello, Ikulu Chamwino Jijini Dodoma leo tarehe 11 Agosti, 2021.