Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Iramba 😀😀
Ongezea nyama sasa!Mama Fatma Karume… mke wa Rais, mama wa Rais.
Kuna watu wamejaaliwa bwana.
Anyways, wamependeza.
Mama Fatma Karume… mke wa Rais, mama wa Rais.
Kuna watu wamejaaliwa bwana.
Anyways, wamependeza.
Hakika mawe yataongea.Iramba 😀😀
For the Drugs Barons to meet? On this I don't want any question please Okay?Ni jambo jema 😄
Hamna kitu hapo, chawa ww!Huyu Mama, Rais Samia Suluhu Hassan, ni zaidi ya kiongozi.
Tanzania imepata bahati kubwa ya kuwa na kiongozi wa karba yake.
Mungu tulindie kiongozi wetu.
Mzee MgayaIramba 😀😀
Mama Fatma Karume… mke wa Rais, mama wa Rais.
Kuna watu wamejaaliwa bwana.
Anyways, wamependeza.
Msoga? Aaah wapi!Inakuja kujirudia kwa mama k sema yey atakua mke wa rais mama wa rais af rais.. goodle buy[emoji482]
🤔🤐For the Drugs Barons to meet? On this I don't want any question please Okay?
Ndio tatizo kubwa la kizazi hiki cha nyoka; hamyaoni mazuri, mnayaona mabaya tu.Hamna kitu hapo, chawa ww!