Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba Mpya ni hitaji la msingi la watu zaidi ya hiyo SGR, kama haki za kiraia zitaendelea kuminywa hiyo SGR haitakuwa na maana yoyote, kwasababu raia hawatakuwa na amani ndani ya nchi yao.Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu...
Yule mshenzi alijipambanua kabisa kuwa yeye hapendi Haki hata akaitoa kabisa Nchi yetu kwenye mahakama hii!!
Mwenyezi Mungu na amuweke panapostahili!!
Katiba ni hitaji la wanasiasa? Huna akiliSiyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu...
Wangeanza kwanza kubadili ya kwao ili mwenyekiti awe anakaa vipindi viwili tu uongozini.Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu...
Acha ujinga wewe Katiba ndio Maisha ya Watu Hiyo Sgr kama ni muhimu Nchi ina Miaka 60 kwanini hakujengwa miaka 30 nyumaSiyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu...
Kwa uelewa wangu ni kuwa binadamu inasimama kwa zile haki za mtu mmoja mmoja kama haki ya kuishi (individual rights)nkRaisi wa mahakama ya Afrika ya haki za "binadamu na watu"! Tofauti ya binadamu na watu ni nini?
Ahudumie wananchi amekuwa nesi au receptionist?Mama hana kazi ya kufanya kila siku anakutana na watu muda gani anatumia kuwahudumia wananchi?
Mbona hawajavaa barakoa?24 May 2021
Dar es Salaam, Tanzania
President of the African Court Hon Justice Sylvain Ore in discussion with Minister for Foreign Affairs of Tanzania Honourable Liberata Mulamula in Dar es Salaam on May 24 during a courtesy visit![]()
Source : ACTIVITIES OF THE AFRICAN COURT’S PRESIDENT
Amekuwa nurse kama unavyojuwa ndugu yangu....Ahudumie wananchi amekuwa nesi au receptionist?