Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Kuna mi covid bana weeeeer muacheeeMbona kama anaogopa kukaa kwenye kiti? Anakiangalia angalia mara mbili mbili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mi covid bana weeeeer muacheeeMbona kama anaogopa kukaa kwenye kiti? Anakiangalia angalia mara mbili mbili.
Mimi nataka katiba mpya.Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.
Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR, Bwawa la nyerere, ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?
Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani