Rais Samia akutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari - Juni 28, 2021

Kipindi cha kampeni alienda hadi kariakoo kununua nyanya bila shida yeyote, alafu leo mtu unasema usalama wake uko mashakani?

Yeye asiporudi aseme tu kanogewa kwa amsterdam na siyo suala la usalama
watu kwa majibu mpo vizuri
 
Muwe mnatumia Akili basi.
Iv lisu ndo kasema haya au mtoa posti ndie kashauri haya?
Unasema utadhani lisu ndie Alie Sema haya mane.
Pambana na mtoa posti sio Lisu.
Wewe ndiyo utumie akili unaposoma kitu ili uelewe mwandishi katumia nafsi ya ngapi kumsema lisu, au labda hata kiswahili hukijui!
 
lissu ni mtu wa sheria kama anajua hana kosa anatakiwa arudi kwa kifua mbele kabisa, kinachomfanya ajifiche ni nn?

Kwamba 😂😂😂😂😂!

Lissu aliyekuja jknia mchana wa saa 7, akazunguka nchi nzima kutafuta kura jiwe aliyetaka kumwua akiwa yupo?

akaondokea jknia mchana na jiwe akamgwaya kwamba kajificha? Labda hujui maana ya kujificha.
 

Mkuu kama ni hivyo, kwanini hukumshauri Lissu hivyo tokea day 1 mama aliyosema:

Samia = JPM

Nilidhani hiyo ndiyo ilikuwa mbaya zaidi basi?

Hapa vipi:

 

Una uhakika na unachokisema? Mbona kama ni kitu cha kuzua bila facts?
 
Urais mtamu sana. Naona huyu mkojani kanogewa sana
 
Kipindi cha kampeni alienda hadi kariakoo kununua nyanya bila shida yeyote, alafu leo mtu unasema usalama wake uko mashakani?

Yeye asiporudi aseme tu kanogewa kwa amsterdam na siyo suala la usalama
Nyuma si mchezo!
 
Huyu maza atakuwa mtawala mbovu kuliko wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…