watu kwa majibu mpo vizuriKipindi cha kampeni alienda hadi kariakoo kununua nyanya bila shida yeyote, alafu leo mtu unasema usalama wake uko mashakani?
Yeye asiporudi aseme tu kanogewa kwa amsterdam na siyo suala la usalama
Wewe ndiyo utumie akili unaposoma kitu ili uelewe mwandishi katumia nafsi ya ngapi kumsema lisu, au labda hata kiswahili hukijui!Muwe mnatumia Akili basi.
Iv lisu ndo kasema haya au mtoa posti ndie kashauri haya?
Unasema utadhani lisu ndie Alie Sema haya mane.
Pambana na mtoa posti sio Lisu.
lissu ni mtu wa sheria kama anajua hana kosa anatakiwa arudi kwa kifua mbele kabisa, kinachomfanya ajifiche ni nn?
jiwe alikuwa anavaa barakoa?.Alivaa barakoa?
Mbona alikuja hapa kwenye kampeni tukapigana naye vikumbo huko kariakoo na hakuna lililotokea? Yeye mwenyewe alimiss nanilii la rob amster akaamua kulifuata.Lissu atakuja na hamtamfanya kitu. Jiwe si alikuwa ana mtaka sana?
Lisu Ni mtu wa uhuru wa kuongea, kuandika and the like. Kauli ya Mama kuwa huwezi kukaa ukamchambua mama Samia Kama huna mama nyumbani .....inaaashiria udikiteita Kama wa Magufuli ule wa "not to that extent".
Watakudunga sindano Kama alivyosema James Khery wa Magufuli.
Lisu Ni mtu wa uhuru wa kuongea, kuandika and the like. Kauli ya Mama kuwa huwezi kukaa ukamchambua mama Samia Kama huna mama nyumbani .....inaaashiria udikiteita Kama wa Magufuli ule wa "not to that extent".
Watakudunga sindano Kama alivyosema James Khery wa Magufuli.
Mjinga mama yakoAcha ujinga wako,unafikiri wote hatujaelewa alichomaanisha Rais Mama Samia.
Matusi so kujenga hoja. Utajibiwa usilalamike maana kila.mmoka ana matusiEti Amstrdam anamkuna vizuri [emoji38][emoji38][emoji1787]
Urais mtamu sana. Naona huyu mkojani kanogewa sanaLisu Ni mtu wa uhuru wa kuongea, kuandika and the like. Kauli ya Mama kuwa huwezi kukaa ukamchambua mama Samia Kama huna mama nyumbani .....inaaashiria udikiteita Kama wa Magufuli ule wa "not to that extent".
Watakudunga sindano Kama alivyosema James Khery wa Magufuli.
Katiba MPYA si ajenda ya CCM.....Alimaanisha nini ? hivi katiba mpya inazuia maendeleo yapi ?
Ndio maana Lissu anautaka eee?!!Urais mtamu sana. Naona huyu mkojani kanogewa sana
Wewe umekunwa na polepole mpka umepata ujauzito,kupitia kipumulioEti Amstrdam anamkuna vizuri [emoji38][emoji38][emoji1787]
Nyuma si mchezo!Kipindi cha kampeni alienda hadi kariakoo kununua nyanya bila shida yeyote, alafu leo mtu unasema usalama wake uko mashakani?
Yeye asiporudi aseme tu kanogewa kwa amsterdam na siyo suala la usalama
A kesi nyingi zinamgonjalissu ni mtu wa sheria kama anajua hana kosa anatakiwa arudi kwa kifua mbele kabisa, kinachomfanya ajifiche ni nn?
Huyu maza atakuwa mtawala mbovu kuliko woteLisu Ni mtu wa uhuru wa kuongea, kuandika and the like. Kauli ya Mama kuwa huwezi kukaa ukamchambua mama Samia Kama huna mama nyumbani .....inaaashiria udikiteita Kama wa Magufuli ule wa "not to that extent".
Watakudunga sindano Kama alivyosema James Khery wa Magufuli.
Ameshaanza kupandisha mabegaUrais mtamu sana. Naona huyu mkojani kanogewa sana
Wewe wamekufokoa hadi haja kubwa zinakutoka ovyo marinda huna kitu kiko waziiiiEti Amstrdam anamkuna vizuri [emoji38][emoji38][emoji1787]
An
A kesi nyingi zinamgonja