mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Maana Ile Ile Kama ya mtangulizi wake.Jamani hebu nisaidiyeni, hii ya vyama va kisiasa viendelee kufanya siasa kwenye maeneo yao, kamaanisha nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maana Ile Ile Kama ya mtangulizi wake.Jamani hebu nisaidiyeni, hii ya vyama va kisiasa viendelee kufanya siasa kwenye maeneo yao, kamaanisha nini?
Huyo hafai, alishapoteza sifa toka alipojiunga na Sukuma Ganga aka kundi la MwendazakeIla kutoka moyoni paskali ana akili sana na kiukweli anapaswa kupata teuzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ni nani aliwaambia Bavicha kuwa MATAGA hawamtaki mama?
Naona wameingia kichwachwa kwamba ccm hawamtaki mama hivyo wanadhani wakimshangilia sana mama basi watakuwa wameuwa legacy ya Magufuli bila kujua kuwa mama mwenyewe ni legacy ya Magufuli!
Hiyo ni mbinu ya kurudi nyuma na kutengeneza V huwa inatumiwa sana hata kwenye vita, yani mnarudi nyuma kama mmeshindwa alafu adui anaingia ndani ya fensi.
Hii mbinu iliyobuniwa na MATAGA ya kuwaingiza mkenge BAVICHA wote mhamie ccm na kusifia alafu mwishoni mwa 2025 mfyatuliwe wote.
Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.
Ccm itaendelea kupeta.
Chadema wote wanashangilia na kuitaja ccm kwa siku mara nyingi zaidi kuliko wanavyoitaja Chadema.
Hongereni sana MATAGA kwa kubuni mbinu hii mtashinda kila kitu kirahisi sana.
Mkuu Erythrocyte, umeisoma hii?Sisemi Katiba sio ya maana, ni ya maana sana
Utabiri wangu! Huwenda ikatokea mabeberu wakapata jina la Madam Dictator.Maana Ile Ile Kama ya mtangulizi wake.
Kabisa! Yaani kwa mtu mkongwe kama yeye tena ambaye amewahi kufanya kazi BBC hakutakiwa kuuliza swali jepesi namna ile.Kumbe ni Abdallah Majura! Mbona swali lake linaonekana kama limeulizwa na mpiga picha wa Online Tv.
Muwe mnatumia Akili basi.Kipindi cha kampeni alienda hadi kariakoo kununua nyanya bila shida yeyote, alafu leo mtu unasema usalama wake uko mashakani?
Yeye asiporudi aseme tu kanogewa kwa amsterdam na siyo suala la usalama
Alivaa barakoa?Kipindi cha kampeni alienda hadi kariakoo kununua nyanya bila shida yeyote, alafu leo mtu unasema usalama wake uko mashakani?
Yeye asiporudi aseme tu kanogewa kwa amsterdam na siyo suala la usalama
Mleta mada mwenyewe huyu? [emoji116][emoji116]Muwe mnatumia Akili basi.
Iv lisu ndo kasema haya au mtoa posti ndie kashauri haya?
Unasema utadhani lisu ndie Alie Sema haya mane.
Pambana na mtoa posti sio Lisu.
Barakoa itoke wapi?Alivaa barakoa?
Lisu Ni mtu wa uhuru wa kuongea, kuandika and the like. Kauli ya Mama kuwa huwezi kukaa ukamchambua mama Samia Kama huna mama nyumbani .....inaaashiria udikiteita Kama wa Magufuli ule wa "not to that extent".
Watakudunga sindano Kama alivyosema James Khery wa Magufuli.
Kupumliwa kisogoni kumemnogeaKipindi cha kampeni alienda hadi kariakoo kununua nyanya bila shida yeyote, alafu leo mtu unasema usalama wake uko mashakani?
Yeye asiporudi aseme tu kanogewa kwa amsterdam na siyo suala la usalama
"Aliwazalo zuzu kama kilaza mwendakuzimu, ndilo linalomtokea".
Uchaguzi una macho zaidi ya macho , hakuna kiongozi ambaye angethubutu kumletea Lissu fyoko fyoko angebaki salamaKipindi cha kampeni alienda hadi kariakoo kununua nyanya bila shida yeyote, alafu leo mtu unasema usalama wake uko mashakani?
Yeye asiporudi aseme tu kanogewa kwa amsterdam na siyo suala la usalama
Mbona wewe umepumuliwa mpka umepata ujauzito wa polepole,tumenyuti dada punguza genye