Rais Samia akutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari - Juni 28, 2021

Rais Samia akutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari - Juni 28, 2021

Hivi ni nani aliwaambia Bavicha kuwa MATAGA hawamtaki mama?

Naona wameingia kichwachwa kwamba ccm hawamtaki mama hivyo wanadhani wakimshangilia sana mama basi watakuwa wameuwa legacy ya Magufuli bila kujua kuwa mama mwenyewe ni legacy ya Magufuli!

Hiyo ni mbinu ya kurudi nyuma na kutengeneza V huwa inatumiwa sana hata kwenye vita, yani mnarudi nyuma kama mmeshindwa alafu adui anaingia ndani ya fensi.

Hii mbinu iliyobuniwa na MATAGA ya kuwaingiza mkenge BAVICHA wote mhamie ccm na kusifia alafu mwishoni mwa 2025 mfyatuliwe wote.

Mafanikio ya Samia ni habari mbaya sana kwa Lisu maana 2025 hana chake tena.

Ccm itaendelea kupeta.

Chadema wote wanashangilia na kuitaja ccm kwa siku mara nyingi zaidi kuliko wanavyoitaja Chadema.

Hongereni sana MATAGA kwa kubuni mbinu hii mtashinda kila kitu kirahisi sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Taga aliyekata tamaa
 
Sisemi Katiba sio ya maana, ni ya maana sana
Mkuu Erythrocyte, umeisoma hii?

Ya Azory Gwanda nalo ni muhimu ili wazazi na ndugu watulize roho zao.

Hilo halitahitaji kazi kubwa kama ilivyo kazi ya Katiba; kwa hiyo inafaa atafute njia ya kuyajibu hayo maswala yanayoweza kujibika kwa haraka, ili watu waendelee na maisha yao wakijuwa kilichotokea.
 
Kumbe ni Abdallah Majura! Mbona swali lake linaonekana kama limeulizwa na mpiga picha wa Online Tv.
Kabisa! Yaani kwa mtu mkongwe kama yeye tena ambaye amewahi kufanya kazi BBC hakutakiwa kuuliza swali jepesi namna ile.
 
Mama Anakosea sana kuwaweka hao wanamuziki wapumbavu pumbavu wanaoimba matusi kila uchao... Maama awe anawatumia kwenye mikutano ya kijinga kijinga tu na sio kwenye mambo seriously... kama barnaba kaimba nilidhani anakuny. chooni yaani anatumia mishipa ya nyuma akiwa anaimba
 
Kipindi cha kampeni alienda hadi kariakoo kununua nyanya bila shida yeyote, alafu leo mtu unasema usalama wake uko mashakani?

Yeye asiporudi aseme tu kanogewa kwa amsterdam na siyo suala la usalama
Muwe mnatumia Akili basi.
Iv lisu ndo kasema haya au mtoa posti ndie kashauri haya?
Unasema utadhani lisu ndie Alie Sema haya mane.
Pambana na mtoa posti sio Lisu.
 
Muwe mnatumia Akili basi.
Iv lisu ndo kasema haya au mtoa posti ndie kashauri haya?
Unasema utadhani lisu ndie Alie Sema haya mane.
Pambana na mtoa posti sio Lisu.
Mleta mada mwenyewe huyu? [emoji116][emoji116]
Screenshot_20210624-223642.jpg
 
Lisu Ni mtu wa uhuru wa kuongea, kuandika and the like. Kauli ya Mama kuwa huwezi kukaa ukamchambua mama Samia Kama huna mama nyumbani .....inaaashiria udikiteita Kama wa Magufuli ule wa "not to that extent".
Watakudunga sindano Kama alivyosema James Khery wa Magufuli.

lissu ni mtu wa sheria kama anajua hana kosa anatakiwa arudi kwa kifua mbele kabisa, kinachomfanya ajifiche ni nn?
 
Kipindi cha kampeni alienda hadi kariakoo kununua nyanya bila shida yeyote, alafu leo mtu unasema usalama wake uko mashakani?

Yeye asiporudi aseme tu kanogewa kwa amsterdam na siyo suala la usalama
Uchaguzi una macho zaidi ya macho , hakuna kiongozi ambaye angethubutu kumletea Lissu fyoko fyoko angebaki salama
 
Back
Top Bottom