Rais Samia Akutana na Washauri Wapya wa Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Jamii Ikulu Chamwino

Rais Samia Akutana na Washauri Wapya wa Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Jamii Ikulu Chamwino

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Washauri walioteuliwa hivi karibuni wa mambo ya Siasa na Uhusiano wa Jamii, Mhe. Abdallah Bulembo, Mhe. Haji Omar Kheir, Mhe. Rajab Luhwavi na Mhe. William Lukuvi mara baada ya kuwaapisha Mkoani Dodoma tarehe 15 Juni, 2023.
A051C1C6-CBF3-4D60-AAEA-57D171CCA11D.jpeg
 
na wao wataanza kutamba mitaani.ukiwazingua utawasikia.unanijua mimi.?mimi ni mshauri wa rais masuala ya siasa na uhusiano wa jamii.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Washauri walioteuliwa hivi karibuni wa mambo ya Siasa na Uhusiano wa Jamii, Mhe. Abdallah Bulembo, Mhe. Haji Omar Kheir, Mhe. Rajab Luhwavi na Mhe. William Lukuvi mara baada ya kuwaapisha Mkoani Dodoma tarehe 15 Juni, 2023.View attachment 2658616
Wameketi kinyenyekevu sijui kama watamshauri kishujaa au kwa hofu
 
Wameketi kinyenyekevu sijui kama watamshauri kishujaa au kwa hofu
....yeye ndiye atakuwa anawashauri wamshauri nini, mkao unajieleza.

Cha kuvutia nje ya mada, wanaume hawa wanne sijui watano wataweza kabisa kushauri siasa na mahusiano ya kijamii kwenye jamii inayoundwa na wanawake, vijana na siasa za kitoto
 
Back
Top Bottom