Alishtukizwa hajui ashike lipiitapita miaka 5 hatajua Dira yake
sikia mkuu hao wanakusanya data kutoka kwa wananchi serikali iko mbali sana na wananchi wabunge wenyewe vibaraka wacha ao masela watusameheVyeo vingine ni mizigo tu kwa serikali
Ova
Hili jicho anakatwa Lujuvi tu🤣Hizo fenicha zimekaa kidubaidubai [emoji848]
Wameketi kinyenyekevu sijui kama watamshauri kishujaa au kwa hofuRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Washauri walioteuliwa hivi karibuni wa mambo ya Siasa na Uhusiano wa Jamii, Mhe. Abdallah Bulembo, Mhe. Haji Omar Kheir, Mhe. Rajab Luhwavi na Mhe. William Lukuvi mara baada ya kuwaapisha Mkoani Dodoma tarehe 15 Juni, 2023.View attachment 2658616
kwani mbowe hana WashauriVyeo vingine ni mizigo tu kwa serikali
Ova
Kwa hiyo zitakuwa ni za DP?Hizo fenicha zimekaa kidubaidubai [emoji848]
....yeye ndiye atakuwa anawashauri wamshauri nini, mkao unajieleza.Wameketi kinyenyekevu sijui kama watamshauri kishujaa au kwa hofu
Mungu akunyime vyote lakini akupe akili, wewe hukupaswa kupewa ubongo na Mungu maana hauna kazi nao, utu wa mgongo ungekutosha.Ikulu ya Magufuli